Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

Kumbe!! ndoo maana! Utakuwa uliifaidi sana busara za bibi.

Hawa jaamaa ambao hawaishi kutusakama wanajisumbua tu. Awali ni awali. Imetoka hiyo!
Nakwambia ilikua raha kupitiliza.

Hehehehe wanajaribu kukimbiza express train ambayo ilishaondoke stendi nusu saa iliyopita.
 
Una jua JF members asilimia kubwa ni wachaga!! halafu inafuatia wameru, waarusha na wamasai, asilimia ndogo sana ni wa makabila mengine, ndiyo maana topic za wachaga zimekuwa nyingi na huenda anayeanzisha ni mchaga na anataka kujua jamii inawachukuliaje juu ya mambo flani......teh teh teh teh....think outside the box....

wanajipa promo wenyewe kwa wenyewe kupima upepo
 
Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE FANYA UTAFITI

Dah! Umekosea kidogo kwenye utafiti wako labda sample ni chache, najitolea kukuonesha kuwa sio kiiivo..... tunajituma sana eheee...
jaribi X-G
 
Wewe x girlfriend wa mchaga au? Wewe umewafanyia utafiti wanaume wangap wa kichaga? Kama alivyosema mdau kabla kuna watu ambao wamezoea kungonoka hivyo wamepitiliza kias kwamba kwao siku ikipita bila hiyo kitu ni tabu. Sex ni sehemu ndogo tu ya mapenzi. Sijwahi kumsikia mke wangu akilalamika ht siku moja kwmb simpi kitu anachotaka na kwa bahati nzuri yeye hata sio mchaga na antokea kwenye makabila yanayoaminika ni wataalamu wa kungonoka
Chunguza vizuri huenda akawa anawafurahisha wenzio...
 
Ulimwengu wa Internet unabadilika kila siku....wapo wanaoneemeka na wapo mazuzu wanaoibiwa kwenye mitandao kutokana na uchanga wao kwenye mambo ya Internet. Hivi sasa kuna kitu imeanzishwa; jaribu kugonga hapa WAZZUB - The Power of "We"! ili upate maelezo zaidi. Kwa kifupi, huo ni mtandao sawa na Google, Yahoo, Facebook au mtandao mwingine wowote unaoufahamu! Tofauti iliyopo ni kwamba, waanzishaji wa mtandao huu wanadai kwamba kwa wale watakaojiunga nao(members), watakuwa wanalipwa malipo kutokana na matangazo yatakayopatikana kwenye mtandao huu! Wapo, wanaoamini kwamba jambo hilo ni la kweli (kwamba members watalipwa) na wapo ambao hawaamini kabisa! Binafsi, ninaamini kwamba, ktk dunia hii lolote linawezekana! Unachotakiwa kufanya ni umakini wako tu!! Kama jambo lenyewe linakuambia utoe kwanza pesa, then achana nalo! You are looking for money; so how come utoe pesa kwa mwingine kirahisi rahisi tu hivi!!

Uzuri wa hao jamaa kwenye hiyo link, hawatozi chochote; ila wanadai watakaojiunga watakuwa wanalipwa!!!! Imekaaje hii?! Kwamba, unajiunga, then unawa-invite wenzako idadi yoyote ile! Assume ume-invite 5 friends, na wao kila mmoja aka-invites 5 friends, na hao nao kila mmoja akafanya hivyo hivyo, inaweza kufikia wakati kwenye chain yako ikawa na members 625! Ifikapo hatua hiyo, jamaa wanadai mtu kama huyo anaweza akawa analipwa Dola za USA 3125, yaani zaidi ya Shilingi 4,600,000/= kwa mwezi!!!! Yaani, ipo hivi:

1st. Generation 5 x $1.00 = $ 5.00

2nd. Generation 25 x $1.00 = $ 25.00

3rd. Generation 125 x $1.00 = $ 125.00

4th. Generation 625 x $1.00 = $ 625.00

5th. Generation 3125 x $1.00 = $3,125.00

Mnaonaje hapo waungwana?! Inawezekana au haiwezekani?! Mimi sijui, lakini nime-join kwenye hii kitu kwavile sina cha kupoteza!! Na wewe nakushauri jaribu kwavile hauna cha kupoteza! Hata hivyo, usithubutu kulipa fedha yoyote kwa hatua yoyote, unless kama umejiridhisha kwamba hauibiwi!

Unachotakiwa kufanya hapo, ni kugonga kwenye hii link http://signup.wazzub.info/?lrRef=95d54
na kuifuata, kisha unajisajili! Ukishafanya hivyo, nawe utapewa link yako ambayo utaitumia ku-invites your fellows! Unaweza kutumia njia unayoiona ni muafaka kwako katika ku-invites friends. Unaweza kuwatumia link utakayopewa kwa njia ya e-mail au unaweza kuweka maelezo kama nilivyofanya mimi! Aidha, upo huru ku-copy haya maelezo yangu na kuyatumia na link yako! Jambo la kukumbuka ni kwamba, ukitumia haya maelezo yangu, basi toa hiyo link ya kwangu kisha paste link yako utakayopewa wewe! Ukisahau kufanya hivyo (kuweka link yako), utakuwa unainenepesha account yangu!

.....usisahau kwamba ni wale wanafunzi wa mwanzo kabisa ambao waliamini na kuamua kumfuata YESU ndio waliopiga bao! Si hivyo tu, pia ni wale Maswahaba wa mwanzo walioamua kumuamini na kumfuata Mtume Muhammed (SAW) ndio ambao walineemeka kwanza na mafundisho kutoka kwa Allah! Nashauri wengi tujaribu hii kitu, halafu tupeane taarifa hapa hapa FB itakapofika hapo May 2012 ambapo malipo ya awali wanadai yatafanyika kwa members wake watakao-register!

Mkuu umepotea njia??? PILI: Haya sio mambo ya DECI???
 
Aiseee, hii sredi imenisaidia kuwafahamu wachaga wa JF. Asprini kumbe hata wewe unakwenda kuhesabiwa mwisho wa mwaka?:lol:
Hahahaha.... kamanda enzi zile napiga mbege namna ile ulifikiri mie mzaramo.... hii mutu ni 100% chaggian tena iko proud kuwa chaggian..... baada ya kusema hayo, hebu njoo huku nikufundishe mkwanja achana na biashara ya ngono bana..... watu wanapiga ngono na sabuni na wanarizika wengine wanashadadia ngono kwa vigezo vya makabila lol
 
Wanawake bwana, they'll always back up their men.
Ndo maana Mariantoni kaenda kulianzisha kule
Kumbe huku walikuwa wamewagusa?????

Afu na nyie wachaga muwatende tena hawa wadada na walivyowatetea humu.
 
Wanawake bwana, they'll always back up their men.
Ndo maana Mariantoni kaenda kulianzisha kule
Kumbe huku walikuwa wamewagusa?????

Afu na nyie wachaga muwatende tena hawa wadada na walivyowatetea humu.

Weeee. . . ulidhani tutawapa mgongo?
 
Nilivyo na hacra nadhan mtoa mada unaweweza kunipa ban! Kwnini mc2tuache wachagga 2uanze mwaka vizuri jamani? Im fed up coz im having a chagga gal na naenjoy compared to mndengereko mhaya na msambaa nliokua naye!!!
 
Hahahaha...siye twawapa twanga pepeta lol

Hahahah. . . una bahati hua unashiriki kwenye zile zinazotuponda na sisi. Otherwise leo ningewageuka na kuwapa mugongo mugongo. . . .
 
taratibu lizzy watu wanangonoka na mimba ya miezi tisa hadi anaenda leba unategemea azae nini mamii?achana nao

kitu chenye raha ya juu ,watu hukiponda sana mfano Pombe, ngono, sigara , wakati kila mtu lazima awe na kimajawapo , sasa mnaoponda ngono wakati ndiyo kiungo kikuu cha penzi lenu, ingawa mnamanisha nyinyi mnafanya kistarabu na kwa kiasi na pengine mnafanya kwa fujo. Asikwambie mtu bwana unapokumbuka ngono kwa mpenzi wako unamuona mzuri gafla
 
Hahahaha.... kamanda enzi zile napiga mbege namna ile ulifikiri mie mzaramo.... hii mutu ni 100% chaggian tena iko proud kuwa chaggian..... baada ya kusema hayo, hebu njoo huku nikufundishe mkwanja achana na biashara ya ngono bana..... watu wanapiga ngono na sabuni na wanarizika wengine wanashadadia ngono kwa vigezo vya makabila lol


Ha ha haaaa, mi nilikuwa nadhani wewe ni mzaramo wa kisasa, si unajua wakienda shule ''wanavyo-nyodoka''!

Mtaa gani huo tena nitie timu fasta, direction please!
 
Haya makabila WACHAGA, WAHAYA bila watu kuyazungumzia hawaoni raha aiseee...naona sasa hivi pia wameanza kwa Wasukuma pia..
Umesahau na wakwere....tatizo mkwer.e anazungumziwa mmoja tu, hawawajenerolaizi kama wachagga na wahaya (na wasukuma nao wanakaribia kuingia kundini)
 
Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE FANYA UTAFITI

Hii reaserch umeifanyia wapi mamito? Sampo size yako ina "papii" wangapi? Mimi ni mchaga na ninakanusha hii habari kwa sababu huwezi ku GENERALIZE.
 
Ha ha haaaa, mi nilikuwa nadhani wewe ni mzaramo wa kisasa, si unajua wakienda shule ''wanavyo-nyodoka''!

Mtaa gani huo tena nitie timu fasta, direction please!
Nenda kaedit fasta kabla marehemu babu yangu hajaisoma hii posti yako...... hapa bandani napoishi nimeotesha "isale" kabisa ili nisije nikabatizwa kabila jipya.... BTW pole kwa msiba wa mpiganaji wetu.... bado kama namuona vile. kila wakati nachkua simu nikitaka nimpigie ili nione kama ataitika lakini nasita.....
 
Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE FANYA UTAFITI
Umetembea na wachagga wangapi maishani mwako?
 
Siyo kweli kwamba wachagga hawajui mapenzi, kwa upande mwingine,despite the fact that you cant be good at everything, mleta hoja unasema eti hawajui kutongoza,kwa hiyo huwa wanafanyaje wakitongoza? na eti kuwa wanawake wa wachagga wana wanaume wa pembeni wa kuwaridhisha kimapenzi? Hilo sidhani kama ni tatizo la wachagga peke yake.

Nakuomba ufanye utafiti wako tena kwasababu nadhani hii ni stereotype tu, missunderstanding other tribes.

Na hao wanaume wa pembeni wanaofuatwa wa kukuridhisha kimapenzi ni wa makabila gani?

Pia hujawa specific, ongezea nyama kwenye hoja.
 
Back
Top Bottom