Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

mimi ni mchaga na nimeshalala na wanawake ambao waliikubali shughuli yangu na wengine wakanimbia tulikuwa tunakuangalia kiuogauoga kumbe moto wa kuotea mbali. Na sina hata hela kama mleta mada alivyosema wanatukubalia pesa...
 
Ni kweli tupu WACHAGGA wanaume kwa wanawake MAPENZI kwao ni SIFURI wanawaza hela na VIROBA tu
cc. Wana ROMBO
 
mhh h naguna kidogo maana hoja yako ni nzito.
hivi karibuni nimeshindwa kufahamu kama kuna watu hasa mijini bado wana hulka za makabila ukiacha majina tu.
hivi mtoto wa kichaga he/she amezaliwa mji tofauti na kwa bahati mbaya anapata kwenda bush kila baada ya miaka 5-7 akiwa mkubwa utamwita mwanaume/mwanamke wa kichaga.anajua nini huko?

katika mapenzi kujua au kutojua ni relevant na mpendwaji mwenyewe hivyo kwa akili yangu nadhani kuwa hakuna kabila ingeneral ambalo watu wake wanajua kupenda au hawajui kiujumla.ina tegemea umekutana naye kivipi?anakuchukuliaje au hakupendi wewe siyo kwamba hajui kupenda.

Mchaga mchaga tuu....hata miss chagga amekulia jijini ila hajabadilika hata chembe...mbesaa kwanza na anajua hilo pia
 
Last edited by a moderator:
inaonekana hii kitu ni kweli sina sababu ya kubisha maana majuzi tuu wanawake wa rombo wamelalamika wananunua mabwana kutoka kenya aahahahahahahaaaahahahahahaa jaman walio kosa kazi kazi kwenu ajira hizooo pumzi zako tuuu
 
Back
Top Bottom