Haki ya Mungu, huyu X-Girl Friend ni Mchokozi kabisaaa........................
Nami pia nawapenda sana sana hawa watu...I love you my G (mchaga wangu)
dah! Inanisikitisha sana kuona watu wanadisuss perfomance ya ngono ya kabila fulani,kwn mtoa mada hajui maana ya neno mpenzi.je,mapenzi ni ngono?tujadili mambo ya kujenga! Ngono co sifa ya kabila km ni sifa nitajie hilo kabila ili nami nipate jina la kuwapa
Ngono ki2 gan bhana!! Money counts and cash rules everything....kila asubuhi nikiamka natema mate pande zote nne za dunia kumshukuru MUNGU kwa kuniumba mchagga!period!!
Here comes another PUMBA EXPRESS.
Achana na kaka, baba,wajomba, wadogo au WANAUME WETU kwa lugha nyingine. Kama akili yako inawaza ngono 24/7 tafuta wenzako (I guess hiyo yaweza kua sifa ya kabila lenu) mngonoke mpaka mchakazane miili. We Chagga ladies and lads have better things to worry ourselves with.
LIZZY na wachaga wenzio woote humu najua ukweli unauma ila mapenzi yote kwa ujumla ( si kungoneka tu) hamjui. Just recognize your deficiencies and find solutions
Amekujibu huyu mleta uzi? inaelekea kwake ngono ndo kila kitu.[/QU
Amekujibu huyu mleta uzi? inaelekea kwake ngono ndo kila kitu.[/QU ninashaka aweza kuwa mngoni!!..
May god forgive you cuz you didn't know how this will pain to others.