IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,716
- 8,124
ni kabila teule tanzania wapo juu
nani kawateua!.....ebu funguka
ni kabila teule tanzania wapo juu
wameteuliwa na kutakaswa na mungu mwenyewe ili watu wakiwaona walitukuze jina lakenani kawateua!.....ebu funguka
acha uongo!!!!!Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE FANYA UTAFITI
kweli si unakumbuka ule mchezo wa marite marite? kumbe bwana ilikuwa ni am i right?
na baishoo i love you baby? unaipata?
LIZZY na wachaga wenzio woote humu najua ukweli unauma ila mapenzi yote kwa ujumla ( si kungoneka tu) hamjui. Just recognize your deficiencies and find solutions
Poa ngoja niwe ngangari sasa sijui ndio namna hii...:noidea:
Ishu kama hizi zisizo na kichwa wala miguu ndio katika ya vitu vinanifanya niwe nachungulia tu Jukwaa la MMU siku hizi....
Thank you, thank you...lol..itabidi nije kule kijiweni kwetu nikuwekee varieties za zawadi..lolHahaha acha uchizi.
I'm proud of you. . . niambie kabisa unataka nikuletee zawadi gani.
Mosha nimekaa sana na bibi yangu, yani hicho ni kati.ya vipindi nnavyovitreasure sana maishani.Nimecheka mpaka nimepata mafua! Inaonekana da Lizzy kakaa kwa bibi/ na babu sana. Cha ajabu wazee wenyewe hawakwenda shule ki- hiivyo lakini umombo haukuwa taabu sana.
Thank you, thank you...lol..itabidi nije kule kijiweni kwetu nikuwekee varieties za zawadi..lol
ni kweli wanaume wa kichagga hawajui kabisa kula tigo.Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE FANYA UTAFITI
ilikuwa "wanawake wa kichaga wazuri kwa sura na hawajui Mapenzi",
zoezi limegeuka! naona sana ni wanaume wa kichaga! jamani hizi topic kuhusu wachaga hapa JF zimekuwa nyingi mno!
inaboa sasa!
Nami pia nawapenda sana sana hawa watu...I love you my G (mchaga wangu)
wameteuliwa na kutakaswa na mungu mwenyewe ili watu wakiwaona walitukuze jina lake
Mosha nimekaa sana na bibi yangu, yani hicho ni kati.ya vipindi nnavyovitreasure sana maishani.
Hahahaha walikua soo. . . ndo maana watu viroho haviwatulii.
ahahaa dah kumbe wale wazee ni sooo mitusi yote hii waliiitoa wapi jamani?
Kumbe!! ndoo maana! Utakuwa uliifaidi sana busara za bibi.
Hawa jaamaa ambao hawaishi kutusakama wanajisumbua tu. Awali ni awali. Imetoka hiyo!