The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Si ndio maana ukiwa nyumbani hauoni mbundo mana ufui soksi enhh?
sasa wakat wew unakagua kucha mi ntakuwa nakagua soks..sawa?
Si ndio maana ukiwa nyumbani hauoni mbundo mana ufui soksi enhh?
sasa wakat wew unakagua kucha mi ntakuwa nakagua soks..sawa?
Kuna Mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.
2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. raha mustarehe
we vipi? Watu wako busy na life,wewe anza usafi huo,kapige mkorogo kama madem tujue moja !
Mwanaume kunuka soksi siyo issue kivile mambo ya kawaida.
Tafuta pesa mkubwa achana na mambo ya kujipodoa podoa,hizo time hatuna sisi !,hivi maisha haya chini ya uongozi wa sasa ccm unaweza kupata muda wa kuwa msafi kiivyo utakula nini,kwa raha ipi,subiri kwanza tuachafuke saaana na muda ukifika tutastarehe.
mimi mmojawapo mkuu, muda wote nipo kikazi zaidi, sina muda na usafi. hata jeshini mda wote wapo standby kwa vita.
aminia mwanangu, nasikia kuna mpaka manukato sijui perfume, kuna baadhi ya wanaume wanajipuliza kabisa, aaaaaagh! Mwanaume hasifiwi usafi, anasifiwa kazi nyie,
Si ndio maana ukiwa nyumbani hauoni mbu
Rose Mambo? Hivi wadada nao hayawahusu haya?asi ndo mana ata ukinichokoza skufinyi..CZ KUCHA ZINAKUWA ZIMEKWISHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA !!!!!!!!
NDO KUSEMA JESHINI HAWAOGI?
AWAOGI?
duhh..stak mie jaman...jesh lip sweetie mchafu koga?
Du! polepole basi nawe.huyu Rose1980 akikusikia tu, kesho utajikuta kwenye gazeti la nipasheDuh jamaa kaamua kutuanika hapa. Ngoja nikanunue sox mpya aise maana ya kwangu imetoboka kidole gumba
Halafu boxer nazo zina wiki hazijafuliwa
kuna mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.
1. Mtu soksi zinanuka kwa sababu ya kuvaliwa kwa muda mrefu haoni kama ni tatizo
2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. Raha mustarehe
3. Una soksi ina bonge la tobo kwenye kisigino na kwenye dole gumba lakini bila ya aibu unaivua mbele za watu.
4. unaingiza dole lako kwenye pua na kutoa kamasi au ugando wa kamasi bila ya wasiwasi mbele za watu
alafu unapata jamaa katoa dole...anaagalia kama kapata almasi, toka mashimoni..(wengine watia mdomoni..aaaghhh!!!!)
5. Unafanya kazi gereji hufui nguo zako hadi tofauti kati yako na grease za gereji inakuwa sawasawa na ziro
6. unajijua una kikwapa lakini kunyoa nywele zako za kwapani inakuwa ni mgogoro mkubwa.
wenyewe wasema kunuka uuume (kibeberu), ndio kivutio kwa kina dada(kina rose...)
7. Unakula kitimoto, unakunywa bia na vitu vingine kadha wa kadha,lakini mswaki kwako mwiko!
8. Huwezi kuoga mpaka ujue unakwenda kwenye kideti kipya.
9. Domo lako unajua kwamba linanuka lakini wewe ndiyo kinara wa kutaka kunong'oneza watu.
Hizi ni tabia ambazo baadhi yetu wanaume tunazo ila wengine wanazitetea eti ndiyo "udume" jamani tuwe wasafi kwani usafi nao ni sehemu inayochochea mapenzi.
kweli bwana!!Kwani ni wanaume tu peke yao! mbona na nyie hamfui chupi zenu mpaka zinatoa harufu mbaya kama yai viza
- unakuta msichana kavaa wigi linanuka ile mbaya halafu anakaa katikati ya watu
- upo kwenye siku zako kwa nini usitumie vizuri basi hizo pedi zako? kwani ni lazima mpaka tuzisikie harufu?
wewe rose1980?????...umetumwa nini? haki, please kamwambie huwapo. Jesus Christ, ukizidi tutaissue warrant of arrest kwako na mto madawatawezaje kusema wakat midomo yao inatema?
labda wataandika..ahh km kuandika poa tu waache waaandike asi wanafanya mazoez ya vidole manake ndo kiungo pekee wanachokifanyisha mazoez vingne vyote vipo tu vimelala kuanzia januar mosi mpk desemba 31
KESHO TENA UWACHANE enhh?wapake wapakike manake daily ahh demu wangu kajamba..demu wangu ananuka nini sjui..demu wangu anabnuka sana...ahh wanatudhjalilisha sana awa ,...yaan masuala ya kukaa na demu wakew akamrekebsha ye analeta apa..au ukute mkaka jana kapigwa kibut ahh utajua tu atakuja na topic nzito uyo acha yakuponda mademu mwanzo mwsho full kudhalilisha as if mama yake si mwanamke..