Wanaume tuwe wasafi jamani!

kweli bwana!!

hawa watu bwana wanaona wako wasafi wakati ni wachafu wa kutupwa...imagine kuna siku moja nilikutana na demu flani pale mabibo hostel katika pitapita zangu...yule demu bwana sikujua kama ana fungus sehemu nyetu...nilishangaa sana zilikuwa zinatoa harufu mbaya sana sasa nikashindwa kuelewa kama ni mwanamke kweli ama, halafu alikuwa anatoa harufu mdomoni pia.
suala la usafi bwana ni kwa wote sio wanaume wala wanawake na kama ni uchafu kuna wanaume wachafu na wanawake wachafu pia.
 
hawa watu bwana wanaona wako wasafi wakati ni wachafu wa kutupwa...imagine kuna siku moja nilikutana na demu flani pale mabibo hostel katika pitapita zangu...yule demu bwana sikujua kama ana fungus sehemu nyetu...nilishangaa sana zilikuwa zinatoa harufu mbaya sana sasa nikashindwa kuelewa kama ni mwanamke kweli ama, halafu alikuwa anatoa harufu mdomoni pia.
suala la usafi bwana ni kwa wote sio wanaume wala wanawake na kama ni uchafu kuna wanaume wachafu na wanawake wachafu pia.
Lakini sisi wanaume tumezidi bwana!!
 
dah sjui nikupe nini wewe??
ahh umeongea fresh jaman...lijitu linanuka kwapa utasema kaficha tope la choo

ahh kuna njemba moja iyo olevel ebwna ehh sjapata mfanoe yule bwana alikuwa anapenda kunihug kila akiniona na akishanihug anataka aninongoneze et ata masomo mema ye anataka anisemee kisikion sasa BALAA LAKE ILO KWAPA jaman ahh yaan akipanua mkono utasema kuna jalala limefunguliwa...na izo njino zinavyonuka jaman,...dahh afu anapenda kuzungumza chngereza mda wote bas watu wakawa WANAMPONDA AHH HAUNA LOLOTE MWINGEREZA GAN DOMO LINATEMA..raha ya chngereza domo livutie..

Rose1980 punguza mimeseji kwenye inbox yako. kuna mambo ukitumiwa kwa PM hayaingii coz nafasi kwenye inbox yako imejaa. Futa za zamani, au ndo kusema unarudia rudia meseji zako za vibuti?
 
ukiwa msafi sana utakuwa unakaribisha ushoga, uanaume kuchafuka bwana, saa zote msafi hata semi lakutoka mbeya likiingia kushusha mzigo tandale wenzako wanachukua wee unan'gaa macho kuogopa kutoka jasho, binafsi sina muda wa kupoteza, usafi siku ya kumbukumbu yangu ya kuzaliwa tu, baasi.




Eeeeeeeeeeeeh? we noma kama ni mwalimu aanze na (a e i o u)
 
nimeishuhudia pia kwenye daladala, wanaume wengi huwa wanarudia nguo hata mara tatu bila kuifua, so unakuta ule uchafu wa kwenye kola ni live bila chenga +mijasho iliyokauka. Halafu daladala imejaa, unakuta umevaa kinguo chako cheupe safi, na jamaa kakuegemea. Mmmpheeeew! Huwa nachoka, nahisi kutapika


hili nalo neno inaudhi hiyo we acha tu,halafu wanapenda kuegemea hao.
 
Duh jamaa kaamua kutuanika hapa. Ngoja nikanunue sox mpya aise maana ya kwangu imetoboka kidole gumba
Halafu boxer nazo zina wiki hazijafuliwa



Bora umekubali matokeo kaka kuna wengine wanabisha.Uungwana ni vitendo.
 
Hao wanaume wenye tabia hizo ni wa huko kwenu,.....ambako hakuna maji,sabuni,maduka ya kuuza miswaki na dawa,hakuna leso,...etc,..huku kwetu hayo mambo hayapo_na hao kina Preta na Rose1980 wanao kussuport nafikiri mnaishi nao huko...waambie waje kwetu wataona tofauti
Yaani unapenga kamasi na kujifuta jasho halafu unaweka kitambaa mfukoni?
Thats nasty.
 
Kuna wengine hata chupi wanavaa zimetoboka ati
Soksi zenye uvundo akkingia nazo ndani mwako; siku hiyo no mbu kuingia ndani
kama una mtoto mchanga, pumzi kwake ni mgogoro aise
kwa kweli kwangu nakutoa baluuuuuuu


Wewe ni mkali ........
kama ni mtu wako muelimishe tu, duh kumtimua noma cz akifikiria kilichomfanya mpaka afukuzwe ni uchafu atajisikia vibaya.
 
kuwa Mstaarabu japo kidogo. Kwani unadhani mimi mwanamke?? Mimi mwenyewe hapa maskani nimeshaanza kampeni ya wanaume kuwa wasafi na tunapambana na wote wanaofikiri kwamba usafi ni usharobaro.
wanaume wengine huwa wanuka hadi ch...........hilo sijaliona kwenye listi
 
watawezaje kusema wakat midomo yao inatema?
labda wataandika..ahh km kuandika poa tu waache waaandike asi wanafanya mazoez ya vidole manake ndo kiungo pekee wanachokifanyisha mazoez vingne vyote vipo tu vimelala kuanzia januar mosi mpk desemba 31

KESHO TENA UWACHANE enhh?wapake wapakike manake daily ahh demu wangu kajamba..demu wangu ananuka nini sjui..demu wangu anabnuka sana...ahh wanatudhjalilisha sana awa ,...yaan masuala ya kukaa na demu wakew akamrekebsha ye analeta apa..au ukute mkaka jana kapigwa kibut ahh utajua tu atakuja na topic nzito uyo acha yakuponda mademu mwanzo mwsho full kudhalilisha as if mama yake si mwanamke..

Haaaaaa Kwani uongo hamfutuhi lol
 
Kuna Mambo sisi wanaume lazima tuyaache na tujue jinsi ya kuwa wasafi.

1. Mtu soksi zinanuka kwa sababu ya kuvaliwa kwa muda mrefu haoni kama ni tatizo

2. Hotelini mtu anasukutua na kutemea mate au kohozi kwenye sink linalotumiwa na watu wote. raha mustarehe

3. Una Soksi ina bonge la tobo kwenye kisigino na kwenye dole gumba lakini bila ya aibu unaivua mbele za watu.

4. Unaingiza dole lako kwenye pua na kutoa Kamasi au ugando wa kamasi bila ya wasiwasi mbele za watu

5. Unafanya kazi Gereji hufui nguo zako hadi tofauti kati yako na Grease za gereji inakuwa sawasawa na Ziro

6. Unajijua una kikwapa lakini kunyoa nywele zako za kwapani inakuwa ni mgogoro mkubwa.

7. Unakula kitimoto, unakunywa bia na vitu vingine kadha wa kadha,lakini mswaki kwako mwiko!

8. Huwezi kuoga mpaka ujue unakwenda kwenye kideti kipya.

9. Domo lako unajua kwamba linanuka lakini wewe ndiyo kinara wa kutaka kunong'oneza watu.

Hizi ni tabia ambazo baadhi yetu wanaume tunazo ila wengine wanazitetea eti ndiyo "udume" jamani tuwe wasafi kwani usafi nao ni sehemu inayochochea mapenzi.


Nini kujiita UDUME wenyewe wanajiiita WAGUMU,Minashangaa ugumu ndo kuwa mchafu.....hebu jirekebisheni bwana.
 
Hapo namba kuhusu kuchokonoa pua. Dah! Huwa najisahau kbs, no way naanza kufanyia kaz leo.
 
hawa watu bwana wanaona wako wasafi wakati ni wachafu wa kutupwa...imagine kuna siku moja nilikutana na demu flani pale mabibo hostel katika pitapita zangu...yule demu bwana sikujua kama ana fungus sehemu nyetu...nilishangaa sana zilikuwa zinatoa harufu mbaya sana sasa nikashindwa kuelewa kama ni mwanamke kweli ama, halafu alikuwa anatoa harufu mdomoni pia.
suala la usafi bwana ni kwa wote sio wanaume wala wanawake na kama ni uchafu kuna wanaume wachafu na wanawake wachafu pia.


Ushasema fangasi inamaana anumwa,
tunazungumzia wazima na uzima wao,whyyyyyyyyyyyyyyyyy?
 

ina mana niende na mswaki BAR???

Hapana, ukifika home kabla ya kulala brush basi. Kila siku mnalalamika wake zenu hawawapi cha alfajiri; sasa utamkiss vipi kwa domo lililochacha na mibeer na mikachumbari!

Wanawake wako sensitive sana na harufu!
 
hahahahahahahahahaha!thats true kabisa jamani!hao hata kwetu wapo!wengine wananuka BOXA. hahahaha
 
Hii mada yako haiwatendei haki wanaume. Kuna kinamama hapa watadhani wanaume wote wako hivyo kitu ambacho siyo kweli. Ulitakiwa kueleza kwa uwazi ni wanaume wa sehemu gani unawaongelea. Nyie kina mama mnaoshabikia kama mna hayo matatizo na waume/mahawara zenu mjue ni ya kwao hayatuhusu wanaume wengine.





Umeambiwa baadhi sio wote
kwa hiyo kama haikuhusu wewe wengine inawahusu hili ni soma tosha tu,
Hapa tuna elimishana nadhani ndio maana wa hili jukwaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom