Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
kweli bwana!!
hawa watu bwana wanaona wako wasafi wakati ni wachafu wa kutupwa...imagine kuna siku moja nilikutana na demu flani pale mabibo hostel katika pitapita zangu...yule demu bwana sikujua kama ana fungus sehemu nyetu...nilishangaa sana zilikuwa zinatoa harufu mbaya sana sasa nikashindwa kuelewa kama ni mwanamke kweli ama, halafu alikuwa anatoa harufu mdomoni pia.
suala la usafi bwana ni kwa wote sio wanaume wala wanawake na kama ni uchafu kuna wanaume wachafu na wanawake wachafu pia.