Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
Hiyo nasikia ni dawa ya kuua mbu
ndo mana ufui soksi enhh?
sasa wakat wew unakagua kucha mi ntakuwa nakagua soks..sawa?
Hiyo nasikia ni dawa ya kuua mbu
7. Unakula kitimoto, unakunywa bia na vitu vingine kadha wa kadha,lakini mswaki kwako mwiko!
Teheteheteheteheh,,,,,:loco: MBAVU ZANGU MIE.. BASI KUMWAMBIA LIVE UNAOGOPA UNABAKI KUGEUKA PEMBENI TU.
ina mana niende na mswaki BAR???
\Hao wanaume wenye tabia hizo ni wa huko kwenu,.....ambako hakuna maji,sabuni,maduka ya kuuza miswaki na dawa,hakuna leso,...etc,..huku kwetu hayo mambo hayapo_na hao kina Preta na Rose1980 wanao kussuport nafikiri mnaishi nao huko...waambie waje kwetu wataona tofauti
Je hayo yote ni kwa wanaume tu au hata jinsia nyingine?
Je hayo yote ni kwa wanaume tu au hata jinsia nyingine?
jaman mwandish asi kasema WANAUME TUWE WASAFI JAMAN..au kichwa cha habar aukion fresh..apo anamaana kuwa WANAUME NDO WACHAFUuuu...hah hahhah haa..najua ningekuw akaribu apo ungenipa kikwenzi cha utos..lakin ndo ivyo..apo anamaana kuwa kajiridhisha kabsa jinsia nyingne apa duniana HAINA tabia km zio so m here with due respect KONKAA with STATEMENT,,.....mfuege soks izo eboooooooooo!!!!!!
Ndiko ninakoelekea huko na mimi. Maana nadhani wengi wa hawa wanaopondoa kuhusu usafi wa vinywa vya wanaume nao usafi wao ni wa mashaka vile vile.
Taratibu tu tutafikia kwenye uwiano.
wengine wakila nyama wana Floss lakini pia siyo lazima uwe na Tongue Scraper lakini angala kwa kiwango cha chini uwe unafanya usafi wa kinywa chako. Sasa fikiria mtu siku mbili haapigi mswaki.Hivi nani humu (waume kwa wake) ana floss mara mbili kwa siku? Mnajua hata ku-floss ni nini?
Nani humu wanatumia tongue scraper mara mbili kwa siku?
wengine wakila nyama wana Floss lakini pia siyo lazima uwe na Tongue Scraper lakini angala kwa kiwango cha chini uwe unafanya usafi wa kinywa chako. Sasa fikiria mtu siku mbili haapigi mswaki.
Do you floss?
Do you use mouthwash? If so, what kind?
floss ndo nin?
mouthwash ndo nin?
ijumaa -j3 natumia kipande cha mkaa
j4 -alhamis natumia mswak wa jiti (MDAA)
lingne baba?