Wanaume, tupeni majibu hapa...

Wanaume, tupeni majibu hapa...

ITS JUST MANLY PRIDE!unajua msamaha huenda na confession sasa hapo ndo ngoma aseme kuwa amekusaliti,aseme kuwa amejenga kwa pesa ya hawara,aseme kuwa gari alilokununulia alipata peasa kwa kuua,aseme kuwa anatembea na mdogo wako,aseme kuwa umekuwa rough sana ndo mana hakutamani,aseme kuwa wanashare penzi na kakake,aseme kuwa ana miallowance kibao ofisini lakini mzigo wa matumizi anakuachia wewe,na mengine kibao!haya ndo yanamfanya mwanaume asiombe msamaha manake kusema ukweli mimi ili nikusamehe lazima useme lile kosa na ulitapike lote tena into details sasa hapo ndo ngoma WANAANZAJE!though guys kusema ukweli mnatuumiza sana ambavyo hamuombi msamaha a woman needs to see yu regret,and confess sio mammbo ya kukimbilia kutaka ka mchakato hata kabla hamjaweka mambo sawa!pale mnazidi kuumiza hisia za wenzenu!

Hapo tu...Yaani mna-demand vitu ambavyo ni vigumu kupewa...Ni sawa na kumtuma mumeo akuletee jino la simba au cobra!! Kama mnawapenda waume zenu basi msiwafikishe kwenye hiyo hatua!!

Babu DC!!
 
kwa kifupi wanume sio wangumu wa kuomba msamaha lakini cha ajabu akiomba msamaha kesho mashonga zenu mitaani wameshajua kila kinachooendelea ndani ya nyumba yenu nyie ndio mnatia aibu sana na hili si kwa mmoja bali wanawake wote ndivyo mlivyo
 
Hapo tu...Yaani mna-demand vitu ambavyo ni vigumu kupewa...Ni sawa na kumtuma mumeo akuletee jino la simba au cobra!! Kama mnawapenda waume zenu basi msiwafikishe kwenye hiyo hatua!!

Babu DC!!

lakini dark city hiyo ndo tafsiri ya msamaha kwangu,mi kama hujakiri nahisi utakosea tena na wala huna haja ya kujijutia ulichofanya ,hapoa ndo inakuwa ngoma na nyie ndo hmataki jamani sa tunafanye?
 
Hapo ndio pagumu mdogo wangu Fixed Point!!

Katika kutafuta hiyo unayoita full story, kuna watu wanafanyiwa interrogation utadhani wako Mabwepande...

Ndo maana wengi wetu hupenda kuzima mjadala ili kupunguza pressure...ya nini kujitafutia headache na BP inayoweza kumfanya mtu aingie kwenye list ya RIP??

Babu DC!!
babu DC, sasa ntamsamehe nini wakati sijui alichokosa?
kama hakuna details basi huo unakua sio msamaha, ni kukubali tu yaishe, na ubaya wa kukubali yaishe huwa ile kitu inajirudiarudia, na ndo maana mnasema wadada huwa wanarudia kuwakumbusha makosa mliyoyafanya. kama hujanipa stori maana yake kila siku nitakuwa najiuliza ilikuwaje? najipa na majibu yangu kichwani, na hii inazidi kujenga chuki na kutosamehe.
 
I tell my wife sorry everytime I feel or told I have done a mistake, Sioni ugumu hata kidogo, kidume naheshimiwa sana tu bila mgogoro, is just a stupidy mindset that some Men has, haihusiani na kuja kudharauliwa, pole Dadangu Kama kakukosea halafu Anakuwa mbabe, Ni Ujinga tu" ila Ndo hivyo kanyaga twende hope tunasogea.

Eti nini wewe uttoh2002???

Umenikumbusha huu msemo....."Show me your face, I will tell your name"!!!


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Umenichekesha sana wewe Mc Tilly Chizenga!!!

Huyo mke wako umeishi naye muda gani???

Kama ndo mnaanza maisha basi subiri tu...muda utafika utawajua wanawake...

Kuna mtu alinambia hili jambo mwanzoni mwa maisha ya ndoa yangu na sikumwamini kamwe...Alisema kuwa..."it is always a man's fault"!!!

Yaani akosee yeye au wewe, mwanamke angependa wewe ndo uombe msamaha!

Believe me....utayaona hayo!!

Babu DC!!!

Retired Maj Gen DC (1947)
babu, mimi sikubaliani na hiyo RED. sisi ni wepesi sana wa kuomba msamaha tunapoona tumekosea. Naona kama umefanya kinyume, nyie ndo huwa mnataka wadada waombe msamaha hata kwa makosa mliyofanya nyie
 
lakini dark city hiyo ndo tafsiri ya msamaha kwangu,mi kama hujakiri nahisi utakosea tena na wala huna haja ya kujijutia ulichofanya ,hapoa ndo inakuwa ngoma na nyie ndo hmataki jamani sa tunafanye?


Tuyaache tu mdogo wangu snowhite kwani hapo ni ngoma droo. Hii itasaidia kupata nafasi ya kulea watoto na wajukuu!!

Mnatakiwa kujua (by letters) kwamba wanaume ni viumbe wengine kabisa.....That way, mtapunguzia pressure ya bure!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine msamaha inabidi ulazimishwe..."I demand an apology". Lol.

Tukitoka kwenye utani...hakuna siri zaidi ya malezi.

Wanangu niko nao makini sana kuwazoesha kuomba msamaha wanapokosea...na kutoa msamaha...unajua mtoto akikuomba msamaha afu ukaendelea kumwadhibu ...hataomba tena kwani atajua it doesn't work.
Ni vizuri kufundisha watoto kuombana msamaha, mimi pia wangu nawafundisha hivyo. na wameshazoea.
kama mmoja amefanya kosa na fimbo inamsogelea, anakuwa amechanganyikiwa sasa napata viboko, utasikia mwenzake "mwombe mummy akusamehe", kama sinema hivi, basi nabaki kucheka tu
 
wanawake wako so good kwenye ku demand apology
tena wana enjoy ku demand kama kama amekubana na ushahidi huna
yaani mtu 'kakusoea' na anakulazimisha uombe msamaha sababu huna evidence
ya kumtuhumu....inaumiza saana
na huwa sababu ya ndoa nyingi kufa mwishowe
It is unfortunate kama umelazimishwa kuomba msamaha kwa kosa ambalo hujafanya. Mimi huwa nachukia sana kuomba msamaha kwa kosa ambalo sikufanya, hili liliwahi kunitokea kwa rafiki yangu (mdada). Niliomba msamaha ila iliniuma sana. siku nyingi zilipita, later nikamwambia kwamba ile siku niliamua tu kuomba msamaha for the sake of our friendship, lakini sikufanya hayo aliyoniambia, sasa ilikuwa zamu yake kuumia
 
babu, mimi sikubaliani na hiyo RED. sisi ni wepesi sana wa kuomba msamaha tunapoona tumekosea. Naona kama umefanya kinyume, nyie ndo huwa mnataka wadada waombe msamaha hata kwa makosa mliyofanya nyie


Nitakupa mfano tu hapa,

Kuna jamaa mmoja alitoka na mkewe kwenda kupanda mlima. Baba alipanda kidogo akachoka na kubaki pale pale...Alimwomba mama aachie hapo ili waende zao home....Mama alikataa kata kata na kuendelea na safari. Huko juu ya mlima aliumia mguu ikabidi abebwa kurudi chini. Ile kufika kwa mume wake,....kidogo tu ammeze. Kisa,....eti kwa nini kamwacha apande peke yake...Hii hatoshi kukuthihirishia kuwa wanawake wanaamini kwamba it's always men's fault??

Babu DC!!
 
It is unfortunate kama umelazimishwa kuomba msamaha kwa kosa ambalo hujafanya. Mimi huwa nachukia sana kuomba msamaha kwa kosa ambalo sikufanya, hili liliwahi kunitokea kwa rafiki yangu (mdada). Niliomba msamaha ila iliniuma sana. siku nyingi zilipita, later nikamwambia kwamba ile siku niliamua tu kuomba msamaha for the sake of our friendship, lakini sikufanya hayo aliyoniambia, sasa ilikuwa zamu yake kuumia

Ni vigumu sana kwa mwanamume kukaa chini na kuanza kulia lia eti anaomba msamaha....Labda kama kafanya kosa la kiufundi wakati hajaonja mzigo!!

Vinginevyo, siku zote mwanamume anatakiwa kuonesha kuwa kweli ni mwanamume!!

Kama bado dada zetu na wajukuu zangu hamjaelewa basi.....


Babu DC!!
 
Tuyaache tu mdogo wangu snowhite kwani hapo ni ngoma droo. Hii itasaidia kupata nafasi ya kulea watoto na wajukuu!!

Mnatakiwa kujua (by letters) kwamba wanaume ni viumbe wengine kabisa.....That way, mtapunguzia pressure ya bure!!

Babu DC!!
ila kweli!
 
Ofcourse ni ujinga Swahiba, you dont think so? wewe kama umekosea ubabe wa nini sasa? mkeo akipigiwa simu na vidume unadinda mpaka unamkosesha Amani mtoto wa watu, anaomba msamaha hata kumkubalia msamaha hutaki, wewe ukikutwa na meseji kwenye simu eti ubabe, sasa hu si usela ma ..... a GENTLEMAN ni mtu anayeweza hata kumwomba msamaha mwanaye.

Kuna siku nilirudi home nikawa na mikazi ya oficin, sasa mwanangu akawa anakuja kwenye laptop analeta namto kwa nguvu, Kama mara 5 hivi, ya sita mzee aliondoka kimya akaenda chumbani akalia mpaka akapitiwa na usingizi .........
Wife akasema sijatenda haki, nikatupa laptop nikanza kumweleza wife I real admit that was bad.

Basi nikaa sikulala nikavizia mpaka mtoto akashtuka kama saa 5 hivi, alipoamka nikamchukua nikakaa naye mda, tulicheza mpaka alipolala tena saa saba usiku ndo nikalala fresh. Kwa hiyo nili apologize fresh kwa wife na kwa mtoto pia, and I think that is good for the father to do.

Eti nini wewe uttoh2002???

Umenikumbusha huu msemo....."Show me your face, I will tell your name"!!!


Babu DC!!
 
Ni vigumu sana kwa mwanamume kukaa chini na kuanza kulia lia eti anaomba msamaha....Labda kama kafanya kosa la kiufundi wakati hajaonja mzigo!!

Vinginevyo, siku zote mwanamume anatakiwa kuonesha kuwa kweli ni mwanamume!!

Kama bado dada zetu na wajukuu zangu hamjaelewa basi.....


Babu DC!!
Ndo maana tunawazungusha sana...................... mnalipia kabla
 
Nitakupa mfano tu hapa,

Kuna jamaa mmoja alitoka na mkewe kwenda kupanda mlima. Baba alipanda kidogo akachoka na kubaki pale pale...Alimwomba mama aachie hapo ili waende zao home....Mama alikataa kata kata na kuendelea na safari. Huko juu ya mlima aliumia mguu ikabidi abebwa kurudi chini. Ile kufika kwa mume wake,....kidogo tu ammeze. Kisa,....eti kwa nini kamwacha apande peke yake...Hii hatoshi kukuthihirishia kuwa wanawake wanaamini kwamba it's always men's fault??

Babu DC!!
kwa nini huyo baba hakumwongezea kibao kidogo? ili kesho ajue akiambiwa stop anatii
 
Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu ama mnahisi kufanya hivyo ni kujishusha hadhi yani kutoka kuwa mwanaume na kuwa mtu mwingine?

je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?

leo akina mama tukae tuwatupie maswali kwa kila hoja watakazo leta hadi tujue nini ni nini.

nawasilisha.

Humility is acquired over time as one grows up, men as women are not angels, hence erring is human and both have to seek reparation whenever they offend.
Women are a wonderful creation and we thank God for giving men a gift in women, just as men are a gift to women, complementality, mercy! where any of them appears proud and adamant at procrastinating!
Through this JF all of us need to practice peace making! by say I am sorry looking your spouse in the eye!!
 
Inategemea mwalimu alikuwa anafundisha nini.Kama aliwafundisha wanafunzi si busara kuonekana guest basi itakuwa imekula kwake. Vinginevyo mwanafunzi atajua kila mtu yuko kikazi zaidi hakuna sababu ya kuulizana.

unaegemea mwl amwambie mwanafunzi kwamba guest ni sehem za kulala ambazo wanaruhusiwa kwenda? ama ni busara kuonekana guest? nikiwa galanos nilikuwaga naenda kuwatoa wavulana kwenye guest house za majani mapana. sasa leo wakukute huko lol!
 
kabla sijajibu naomba uniambie umewahi kuwa na wanaume wangapi na je kati ya hao ni wangapi ambao umegundua wana tabia hiyo usijekuta umekutana na ligumegume huko linakutesa unapelekea kuwahukumu wanaume wote.
Pili ujue kuwa wanaume hatuwezi kuwa na tabia za kike na mwanaume hasifiwi kuomba msamaa bali kipimo cha mwanume kwa mwezi anamahusiano na mlano wa benki na vibanda vya atm mara ngapi ndio mapenzi ya kileoView attachment 62115

sijawah kuwa na mwanaume mkorofi hata kidogo wala siombei niliye nae abadilike kwa kiasi hicho ila nasemea uzoefu wangu kwenya mambo ya usuluhishi kwenye ndoa.
 
Back
Top Bottom