Isumbwile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 801
- 362
"Men are all the same",ndiyo slogan ambayo kila mdada hutumia,ila the truth men are different in their own way n the truth is dat wapo ambao saying sorry,thank u etc is in their blood.
Tatizo ni kwamba wapo wadada ambao wakikutana with such kind of men wanaanza kuwa exploit wakidhani its sumthing rare that they shud use it to their own merit ndo maana men change to protect n prevent dat from happening.
Tatizo ni kwamba wapo wadada ambao wakikutana with such kind of men wanaanza kuwa exploit wakidhani its sumthing rare that they shud use it to their own merit ndo maana men change to protect n prevent dat from happening.