Ofcourse ni ujinga Swahiba, you dont think so? wewe kama umekosea ubabe wa nini sasa? mkeo akipigiwa simu na vidume unadinda mpaka unamkosesha Amani mtoto wa watu, anaomba msamaha hata kumkubalia msamaha hutaki, wewe ukikutwa na meseji kwenye simu eti ubabe, sasa hu si usela ma ..... a GENTLEMAN ni mtu anayeweza hata kumwomba msamaha mwanaye.
Kuna siku nilirudi home nikawa na mikazi ya oficin, sasa mwanangu akawa anakuja kwenye laptop analeta namto kwa nguvu, Kama mara 5 hivi, ya sita mzee aliondoka kimya akaenda chumbani akalia mpaka akapitiwa na usingizi .........
Wife akasema sijatenda haki, nikatupa laptop nikanza kumweleza wife I real admit that was bad.
Basi nikaa sikulala nikavizia mpaka mtoto akashtuka kama saa 5 hivi, alipoamka nikamchukua nikakaa naye mda, tulicheza mpaka alipolala tena saa saba usiku ndo nikalala fresh. Kwa hiyo nili apologize fresh kwa wife na kwa mtoto pia, and I think that is good for the father to do.