sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,425
Poor guy,umemkorogea la wapi makorora,kipatimo,mlingotini au la ujiji kwa kalumbanzira,au shuntama?
He is not as u think Bishanga, anajivunia kila mahali kuwa nami. Hamna chochote kati ya ulivyovitaja ila kakolea tu natural, chimvi aliyoionja ilikuwa barabara, haijazidi wala haijapungua hadi anajistukia tu anasema, samahani mpenz sirudii tena lol
mie nakula bata tu...... pole nyie msiotoa samahani kwa wake zenu looooh!