Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,321
- 10,077
Mkuu @ The Finest leo umeibukia wapi
Au kile kibanda chako cha kuuza ice kimefufuka
karibu sana mkuu
Namshangaa,naona Husn kampiga chini anatafuta pa kujiliwaza.
Mkuu @ The Finest leo umeibukia wapi
Au kile kibanda chako cha kuuza ice kimefufuka
karibu sana mkuu
Nilikuwa nimeenda Olympic nimerudi nasikia Bishanga anasumbua sana hapaMkuu @ The Finest leo umeibukia wapi
Au kile kibanda chako cha kuuza ice kimefufuka
karibu sana mkuu
Namshangaa,naona Husn kampiga chini anatafuta pa kujiliwaza.
The Finest anayesumbua hapa si Bishanga ila ni babu Asprin maana anawachukulia watu wake zao kwa kisingizio kuwa ameukwaa utajiri wa kihayaNilikuwa nimeenda Olympic nimerudi nasikia Bishanga anasumbua sana hapa
hata kwa wanawake wengine mbele ya kadamnasi kitu cha wazi wanakana kabisa na kulia juu mkirudi ndani anapiga magoti na samahani nyingi kisa mnaogopa kupata aibu. si unajua huko mtaani tunaonekana watakatifu sasa leo kitaa wasikia umekiri kugonga house girl au kugongwa na house boy mbwe mbwe zote utazipitisha wapi?[/COLOR]
kaka hapo kwenye red kwanini kwa mwanamke e ok ila siyo kwako wewe baba?
Waswahili wanasema undugu wetu na wanume uko kwenye shuka baada ya pale ni habari nyingine
leo si shwari vipi babu ??Omar hauko kwenye mahusiano? Washakuumiza hawa viumbe ukaona bora uwe mwenyewe?
yaani bila nyie with this beuty of the world plus that of we females yaani maisha yangekuwa mazuri sana manake God made u uncomplite untill woman was created. so nyie ndo msingeweza but sisi tungedunda vizuri tu na maisha.
Un-forgiveness is just hardening of the heart. It does the bearer no good and makes society a little colder every time it is practiced.Tusichakachue sired ya gfsonwin je unajua kuomba msamaha au ni wale wale
umenishangaza kuwa hukiri kosa ni kuonyesha udhaifu. kwa upande wangu nadhani kukiri kosa ni kuonyesha ushujaa, umetambua kosa lako na unataka kujirekebisha. mara nyingi kitu unachokiri kukikosea na ukaomba msamaha huwa hutarajii kurudia tena. na hapo ndo tunapopishana sisi ni wakaka.kuomba msamaha = kukiri kosa = kuonesha udhaifu. wanaume hatutakiwi kuonesha udhaifu hivyo kumuomba msamaha mwanamke ni jambo gumu. pia wengi wanaamini ukifanya hivyo mwanamke atajisifu kwamba 'kakuweka mkononi', so no apology for you gfs
Yulo leba mwananyamala hosp.
thats because you're a woman, men think a bit differently. ona sehemu ya pili ya posti yanguumenishangaza kuwa hukiri kosa ni kuonyesha udhaifu. kwa upande wangu nadhani kukiri kosa ni kuonyesha ushujaa, umetambua kosa lako na unataka kujirekebisha. mara nyingi kitu unachokiri kukikosea na ukaomba msamaha huwa hutarajii kurudia tena. na hapo ndo tunapopishana sisi ni wakaka.
mara nyingi mtu ambaye hataki kukiri kosa ni kwamba hayupo tayari kuacha kitu alichofanya, na hii ni hatari sana hasa katika mahusiano. Nampenda sana mume wangu, ukigundua kafanya kitu na wewe unadhani kuwa ni kosa, ukimwambia tu na kama kweli kafanya ataomba msamaha. Unajua wakati mwingine huwa tunafanya vitu ambavyo sisi wenyewe hatudhani kama ni kosa, lakini mwenzio akaona kuwa ni kosa. akikuambia, na kama kweli ulifanya, ni vizuri kukiri na kuomba msamaha. Mimi huwa ni msameheji mzuri sana, lakini kabla sijasamehe napenda nijue exactly nasamehe nini, nikiwa na stori robo ya kitu ulichonifanyia napenda muhusika aniambie stori kamili, yaani nijue kwa uhakika kabisa ni vitu gani vilitokea, wapi, na kwa wakati gani. unajua sometimes unaweza ukafanya mwenzako akakukosea, kwa hiyo nikijua details, huwa inanisaidia mimi siku nyingine nisimsababishe mwenzangu akarudia kosa ambalo alifanya.
mwanamke anayefikiria kuombwa msamaha ni kumuweka mtu mkononi atakuwa na matatizo. kwaki yeye hafanyi koza? na akikosa haombi msamaha? na akiomba msamaha inamaana kawekwa mikononi? msitusemee jamani, na nimegundua kumbe wakaka wengi hawawajui wanawake, mnatufikiria tusiyokuwa nayothats because you're a woman, men think a bit differently. ona sehemu ya pili ya posti yangu
The Finest anayesumbua hapa si Bishanga ila ni babu Asprin maana anawachukulia watu wake zao kwa kisingizio kuwa ameukwaa utajiri wa kihaya
Kuna Yummy, BADILI TABIA, cacico na the only one Kongosho
we mpaka amemfukuza Erickb52 humu jamvini kisa mke wake BADILI TABIA
Huko olympic umerudi na medali gani au ndo umerudi na sanduku la nguo
Tusichakachue sired ya gfsonwin je unajua kuomba msamaha au ni wale wale
Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu ama mnahisi kufanya hivyo ni kujishusha hadhi yani kutoka kuwa mwanaume na kuwa mtu mwingine?
je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?
leo akina mama tukae tuwatupie maswali kwa kila hoja watakazo leta hadi tujue nini ni nini.
nawasilisha.