Wanaume, tupeni majibu hapa...

Wanaume, tupeni majibu hapa...

mwanamke anayefikiria kuombwa msamaha ni kumuweka mtu mkononi atakuwa na matatizo. kwaki yeye hafanyi koza? na akikosa haombi msamaha? na akiomba msamaha inamaana kawekwa mikononi? msitusemee jamani, na nimegundua kumbe wakaka wengi hawawajui wanawake, mnatufikiria tusiyokuwa nayo
huenda sio wewe personally lakini most women wako hivyo, sijui wanawazaje.. wapo wanawake wasio na huo mtazamo just as wako wanaume watakaokuomba msamaha when wakikosa lakini ni hao wachache sio majority. ktk majority situations dont expect to hear "i am sorry" from mwanaume
 
Mkuu gfsonwin na Wakuu wanawake wote naomba kutoa hoja;
Its a matter of leadership ego...we all have it presidents, ward secretaries, fathers, mothers and even brothers and sisters.
Aliye mkubwa kumuomba msamaha mdogo ni kama anaona credibility inashuka! Ndo maana hata madaktari na walimu wagomeje-viongozi hawawezi kuadmit their mistakes(which are many by the way), watatafuta tu kujisafisha kwa justification.

Mimi naamini justification ni mbaya sana ndo maana hata kwenye bible(my fav book.) watu wote walioambiwa dhambi zao wakaanza kujijustify Mungu aliwakataa kabisa! (Ref.. our father Adam, Cain, Saul)

Na waliotubu aliwapenda sana tu hadi kuwatajataja over the generations hata kama dhambi zao zilikua kubwa kiasi gani
Ref David (He comitted adultery, killed the womans husband and married her). Yet akasamehewa.

Inaudhi sana ukimwambia mtu kosa lake anaanza kufanya hivyo...Ila you are our wives so help saving us from the men we have become.

Pai kinadada na wake zetu mnakosea the way mnavyotuaproach na kutuambia makosa yetu. Kama ukimwambia mkiwa wawili chumbani kwa upole ni wachache sana watakaokuwa hivyo (Ambao kwa niaba ya wanaume wote naomba kuwaita mafisadi wa mahusiano.)

Nawasilisha
 
Last edited by a moderator:
Pole kwa hayo yaliyokukutaSi wanaume wote wako hivyo, Ni huyo Wako Tu PengineMuombee Sana ili awe vile upendavyo maana kwa Mungu yote yanawezekana
 
Jamani hata kama ni malezi, hivi kweli we mwanaume unashindwa hata kujifunza basi ustaarabu wa kawaida tu hata kule ulikopita wakati wa makuzi yako??
 


1 Corinthians 11:3

But I want you to understand that the head of every man is Christ, the head of a wife is her husband, and the head of Christ is God.

1 Peter 3:7

Likewise, husbands, live with your wives in an understanding way, showing honor to the woman as the weaker vessel, since they are heirs with you of the grace of life, so that your prayers may not be hindered.

Genesis 3:16

To the woman he said, "I will surely multiply your pain in childbearing; in pain you shall bring forth children. Your desire shall be for your husband, and he shall rule over you."



HAYA MAFUNGU YOTE YANATOKA KATIKA BIBLIA KWA WALE WANAOIAMINI, ANGALIA MAENEO NILIYOWEKA RANGI NYEKUNDU, YANAWEZA KUTOA JIBU KAMILI KWA MLETA HOJA, MWANAMKE ATATAWALIWA NA MWANAUME, YEYE NI DHAIFU, KINYUME CHAKE MAN IS STRONGER, HIVYO UBABE LAZIMA, MWISHO UDHAIFU WAKO UTAUONESHA KWA MWANAUME KWA MUJIBU WA HIYO VERSE YA MWISHO
 
so kwenye upendo hakuna kuomba samahani ila kwenye kuheshimu ndo kunakuomba msamaha? mbona jamani ule uzi wa namna bora ya mwanamke kuomba msamaha mlitupa mawazo hapa hamtak kujisema? mbona sisi tuliyaongea mapungufu yetu wazi wazi?

if u want to know the importance of education try ignorance,,ni vema ukajua types of personality ya mwenzako ambazo kuna introvert (melancholic and flagmatic),also extrovert(sanguine and choleric),,kuna strength zao na weakness zao sasa kuna personality moja huwa hawawezi sema nisamehe hiyo ni weakness ya mtu usimlazimishe else u will get peper in ur luv(pilipili)
 
I tell my wife sorry everytime I feel or told I have done a mistake, Sioni ugumu hata kidogo, kidume naheshimiwa sana tu bila mgogoro, is just a stupidy mindset that some Men has, haihusiani na kuja kudharauliwa, pole Dadangu Kama kakukosea halafu Anakuwa mbabe, Ni Ujinga tu" ila Ndo hivyo kanyaga twende hope tunasogea.


Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu ama mnahisi kufanya hivyo ni kujishusha hadhi yani kutoka kuwa mwanaume na kuwa mtu mwingine?

je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?

leo akina mama tukae tuwatupie maswali kwa kila hoja watakazo leta hadi tujue nini ni nini.

nawasilisha.
 
uh... me hiyo avatar yako ndo naiona leo imenikoooosshhhhhha kwa kweli, mwe...maradhi ya moyo haya....!!!
 
sasa kwanini mnapenda kuonea wanawake?

kusema kweli wanaume hawwadharau wanawake kama unavyofikiri bali kwa kawaida wanawake huonyesha weakness wakati fulani na kwa vile by nature wanume ni strong hapo huwadharau. i can conlude in this way; kitu au mtu yeyote atakayeonyesha udhaifu fulani mtu au kitu hicho kitadharauliwa. kwa mantiki hiyo hata wanawake wanawadharau wanaume dhaifu na hata wanawake wenzao. zaidi hata wanaume wenye nguvu huwadharau wenzao walio weak. wanaume wanawapenda sana wanawake na ikiwa hivo huwa dhaifu mbele yao.
 
Why don't men say 'I'm sorry'?

[TD="align: right"][/TD]

[TD="colspan: 2"]
rosesx.jpg

[TD="class: vaLink"]

[TD="class: photoCredit, width: 165, align: right"][/TD]

[TD="colspan: 2"]Some people say men will send a dozen roses instead of letting the words "I'm sorry" leave their lips. Research shows men are as willing to apologize as women if they think they're wrong -- they just define wrong differently.[/TD]

[TD="class: photoCredit, colspan: 2"][/TD]
[/TD]
[/TD]
Women apologize more than men, but it's not because they commit more wrongdoing. They just think they do.

New research on apologies from Canadian psychologists finds that men have a "higher threshold" for bad behavior, meaning they just don't see "wrong" the same way women do, according to a study online in the journal Psychological Science.

Psychologists at the University of Waterloo in Ontario conducted two studies of 186 people, divided by gender. They found that men were less likely to be offended than women and were less likely to think they committed wrongdoing.
"The gender differences just sort of leapt out at us," says co-author Michael Ross, a psychology professor. "It was too big to ignore. It was just very clearly there."

In the first study, 33 men and 33 women completed online diaries for 12 days, describing instances in which they apologized to someone or did something that might have warranted an apology. That study found women more readily offered up a mea culpa. But the study also found that contrary to the stereotype, men didn't avoid apologizing or refuse to admit they were in the wrong. They were just as likely to apologize if they believed they were actually in the wrong.
Another study of 120 participants asked them to rate specific offenses, how much that action deserved an apology and how likely they were to say they were sorry for it.

"Men rated the offenses as less severe than women did," the study found.
"Part of the reason women apologize more is they have a lower threshold for what is offensive behavior," says Karina Schumann, lead author of the study to appear in print in November.

"It's not that men are always being insensitive or that women are always seeing offenses that aren't."
Schumann adds, "It's a different standard between men and women on how offensive behavior is, and sometimes results in men not apologizing for something that the female thinks they should."

- Sharon Jayson
 
How to get your spouse to say, “I’m sorry”

by Alisa

Q: You keep telling us to Speak Our Voices, but whenever I tell my husband what’s on my mind, he justifies his actions. He seems genetically incapable of saying, “I’m sorry.” Is there a way to milk an apology out of this man? — Desperately Seeking a Sorry

Dear Desperately Seeking a Sorry:


I hear you. I used to have the same problem. Fights between me and my husband used to go something like this:

Me:
I’m really frustrated that you sat indoors all day watching TV when the grass is so high that the poor dog keeps accidentally stepping on his own poop.

Him:
I didn’t watch TV all day.

Me:
Yes you did. I saw you do it.

Him:
The grass isn’t that high.

Me:
The neighbors are going to complain to the borough any minute now. I just lost our daughter out there. The police are currently searching for her, and they are using machetes to cut through the grass.

Him:
I can cut it tomorrow.

Me:
You are in Las Vegas tomorrow, and why do you have to be so difficult?

Him:
You know, the strangest thing happened the other day….

Me:
Don’t change the subject.

Him:
Look over there…

All I wanted was an, “I’m sorry. I screwed up. You’re right. I’m a lazy slacker.” Instead I got one justification after another for why he wasn’t at fault, and when the justifications failed and the tension rose, he tried to change the subject.

My husband and I still occasionally have such arguments but, truth be told, the situation has somehow reversed itself. Now he’s the one who is after an “I’m sorry” and I’m the greedy person who won’t cough up the words. I believe everything in life happens for a reason. The reasons I’m not sorry are:

1. It gives me something to blog about.

2. It helps me understand my husband that much more.

Neither justifies not saying the words, though. I just felt the need to tell you, so you would continue to find me endearing and lovable. Anyway, the point is that I now understand that my husband wasn’t necessarily trying to annoy me. He wasn’t even doing it because he didn’t think he was at fault. He was doing it because he’s a competitive person, and so am I. One of his life mantras is, “Second is the first loser.” Seriously. He truly believes this.

So it makes sense that he’d have a hard time admitting defeat, especially when he has a wife who is willing to fight until the very bitter end because she can’t admit defeat, either. (Not to mention the fact that his wife is almost always right, but I digress, yet again).

Still, he has learned to apologize. To get your spouse to do the same, you first need to understand why he hates to say those words. Chances are, he avoids saying, “I’m sorry” for one of the following reasons:


  • He thinks he can truly convince you that he is right and you are wrong, and he doesn’t realize that this thinking is completely delusional.

  • He thinks that, by changing the subject, you will experience a momnesia moment and forget what you were talking about in the first place. Again, he doesn’t realize that his tactics will instead cause you to have a momnesia moment when you are trying to remember why you married him in the first place.

  • Saying “I’m sorry” makes him feel weak. He doesn’t realize that true human strength lies in the ability to admit ones shortcomings.

I recommend having a conversation about his inability to apologize. Bring it up when you are both calm. In other words, the time to have this conversation is NOT when you are fighting about something else and you realize you want him to say, “I’m sorry.” You need to have the conversation at a time when you are not after an apology.

When you talk, you might say, “Honey, have you ever noticed that you rarely tell me that you are sorry?”
He’ll probably say something like, “I tell you that I’m sorry.” You’ll say, “No you don’t.” And then you will be off on your cycle. Wait for the right moment, the one that will cause you both to laugh at your folly. At the right moment, after you’ve both done your “No you don’t” and “Yes I do” thing for a while, say, “Well, I’d like you to tell me that you are sorry for not telling me you are sorry. Can you do that? Right now?” See what happens.

This, by the way, is just an icebreaker. It’s a way to ease yourself into a sticky discussion with a bit of humor. At some point state exactly how you feel about his refusal to apologize. You might say any or all of the following:

* When you change the topic when I’m trying to discuss something, it makes me feel as if you think I’m stupid or that you think my feelings are not important.

* When you justify your actions instead of apologizing, I get even more frustrated. Then our arguments last even longer.

Then, end with a question, “Why do you think you have such a hard time apologizing?” If he’s a strong and silent type like my guy, he’ll probably say something philosophical like, “Dunno.”

In the future, when you confront your husband, you’ll get to Sorry more quickly if you:

  • Confront him while you are doing something else. People feel less threatened when they are not making eye contact. Talk while in the car or while walking. If he doesn’t realize you are confronting him, he’ll be a lot more likely to have a conversation with you rather than shut down and battle you.

  • Maintain your happy voice. If you state how you feel in the same tone of voice you use to talk about your day, his “danger” mechanism might not engage.

  • Answer his attempts to battle you or change the subject with simple questions: Why are you trying to justify your actions? Why are you changing the subject? Why can’t you just apologize?

Note: All of the advice here applies to women, too. If your wife refuses to say she’s sorry, try it and see.
 
tatizo tumegindua kuwa mnapenda kudanganywa hivo hatakama tumekosea basi tunawadanganya la sivyo mnatunyima mzigo
 
samahani z the precious thing...haitoki kibwegebwege......hakuna malezi wala nn......wanaume kuweni wakweli..
 
Ni mazoea yanayojenga tabia sina la zaidi dada angu
 
Pole kwa hayo yaliyokukutaSi wanaume wote wako hivyo, Ni huyo Wako Tu PengineMuombee Sana ili awe vile upendavyo maana kwa Mungu yote yanawezekana

acha uongo wewe, wangu ananiomba msamaha tena kwa moyo uliopondekaaaa... na siku hyo maluvu davi yake ni nomaaaaaaa.... Kwa nini umuumize umpendae kwa sababu zisizo kuwa za msingi? Cha msingi hapa ni mapenzi ya dhati tu na kumjali mwenzi wako.
 
Back
Top Bottom