Wanaume: Tuacheni tuolewe basi

Wanaume: Tuacheni tuolewe basi

Haaaah umenichekesha eti kama wale wa tamthiliya za kikorea! Bwahahaha wanavaa Kabati zima wale! Sa si tutashndwa kutembea jaman plus joto la Bongo!

Kwani huko joto hakuna? Kwa taarifa yako majimbo ya kaskazini nwa China huko Mongolia joto linafika hadi degree 40 na wananchi wameonywa kuhusu hilo joto. Hafu jangwani kuna joto kali mbona wanawake wanavaa hijabu?
 
Hahaha nimebaki nashangaa. Haya mambo ya nimeset a goal lazma niachieve, ndo unaangukia kwa jitu mwaka haujaisha unastukia umeingia chaka!
Set goal lazima niiachieve!
Mwe!
Nimestuka ujuee!
 

Huyu si juzi alikuwa anaomba msamaha alichepuka kutokana na umbali kati yake na jamaa yake. Unataka kuahidi ndoa mkuu? Under 27 huyu kama sikosei!
 
Last edited by a moderator:
mimi binafsi nina kama miaka mi2 mbele ndio ntawaza mambo hayo

Una ahadi na mungu? Acheni kukufuru binadamu hakuna hata ajuaye saa kumi jioni atakuwa katika hali gani. Ishi kwa hofu ya muumba wa nafsi yako.
 
kuna wengine humu hawajafikia umri wa kuoa lakini wamekazana eti tunawasumbua kwa kutaka kuolewa jaman hivi nyie ?????????? aggghhh mnatakiwa maombi

Leo nimepigiwa simu my new girl friend anaulizia lini nitaenda kujitambulisha kwa wazazi wake!Nina weeks ya 2 sasa nae kwenye mahusiano lkn tayari mentality yake ipo kwenye ndoa ahahahaha!Ana miaka 24 sasa!
 
Kwani wat so special about gettin married :sly: coz naona pipo zipo sooooo desperate maskini kuoa/kuolewa laiti wangejua hizo sarakasi za ndoa heheheheeee wangejipanga ndoa ni majaaaaliwa wapendwa, mimi bado msafiri naja taratibu nawapisha wale warudio na waendao kwa haraka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom