kapalamsenga vinguo vya ajabu na suala tunaloliongelea hapa ni tofauti ujue hiloTutawaachaje wakati ninyi mnavaa vinguo vya ajabu ili mtutie katika vishawishi hebu vaeni kama wale wanawake wanaoigiza tamthilia za kikolea na japana eg Jumong muone kama papuchi zenu hazitooza.
Hafu kitu kingine tukiacha kuwaongelesha huko mitaani mnaanza kulalamika au hafu wengi wenu mmewekwa nyumba ndogo hivyo kueni wapole
yani aseme kesho??? kwamba ameoteshwa au?? kia kitu kipo programed ujue kwaio najua ni lini na nini
mimi binafsi nina kama miaka mi2 mbele ndio ntawaza mambo hayo
hmmm hii sasa dah...anywei wacha nikae kimya
Kuanzia sasa sitaki missing wala nakuota mpaka nitangaziwe ndoa.. Vin Diesel
hiyo ni setting tu ya mind yako.
nakuambia, man can change ur setting no matter how hard ur.
tena kwenye kuolewa plus love..aaah hiyo miaka 2 utaiona 10.
nimesema hivyo coz tulishapanga kuwa lini na nini kifanyike kwaio hawezi kuibuka tu kama katoka usingizini
nimesema hivyo coz tulishapanga kuwa lini na nini kifanyike kwaio hawezi kuibuka tu kama katoka usingizini
hmmm hii sasa dah...anywei wacha nikae kimya
Kuanzia sasa sitaki missing wala nakuota mpaka nitangaziwe ndoa.. Vin Diesel
Tusubiri wakati wa Mungu....inshalaah tutaoana.
Wacha kudanganya wewe... Vaislay unapigwa changa la macho!
ahahahaaa sikumaaanisha nafungua mlango wa mtongozo aisee kama nimeeleweka hivyo ntaedit sasa hivi haposasa kumbe na wewe una mchumba afu unasema bado uko uko sana? what is ur plan?
hata wewe possibly umemfunga mtu asee...
afu hiyo ya kusema upo upo sana, ni kama unafungua mlango wa mtongozo..
then hapa unasema mmeshapanga.
ahahahaaa atakuwa ameniweza aiseeee lakini sidhani