Wanaume: Tuacheni tuolewe basi

Wanaume: Tuacheni tuolewe basi

sina haraka nayo hiyo ni plan tu
Mjibu kuwa bado unajaribu kusaidia ndugu zako ili ukimaliza majukumu hayo ndiyo uolewe ili uanze majukumu ya familia yako. Haifai kukimbizana ili uolewe maana baada ya ndoa inatakiwa nyote muache kuhudumia familia za wazazi wenu. Ukiolewa mapema, itabidi uendelee kuhudumia familia ya wazazi na hiyo mpya: mtaka yote kwa pupa hukosa yote hasa ukijikita na vipato vyetu siku hizi
 
Haihusu jaman!Mavazi c tabia hlf afande sele alisema c lazma wote 2imbe hvyo km umpend m2 kwa mavaz utampenda kwa k2 kngne hata nyie mna karaha zenu mpooo?Mtuache wenzenu khaaa!Hamuachi?
 
NYONGEZA: "nimeona katika wote wewe ni wife material natamani nikuoe hata kesho" hapo mta date miaka mingi tuuu kimyaaa. what the f*** mutuwacheeeee

umeona ehh..sipendiii yani...af daily hapa JF oh my girl anaulizia ndoa sijui nini wakati ye mwenyewe anajipromote,mxxxy....
 
Lakini na ww mwanamke siusubiri man wako apropose mwenyewe willingly haraka ya nini ukiona hasomeki unasepa

kusubiri mtu unasubiri,yani hata huo msamiati ndoa unaukwepa kabisaaa in his presence...tatizo ni uongo umezidiii banaa,ye ndo unakuta anaisema ndoa afu hana mpango wowote,ukija kugundua ts too late keshakufunua au ulimpa willingly coz unampenda,hata kama utaamua kusepa utabadilisha wanaume wangapiiiii???and mind you sio rahisi kama tunavoandika hapa unakuta mtu unampenda na falling out of love is harrrrd...kuja kupata mwingine hadi mshibane vizuri ujue intention zake unashangaa mwaka miaka miwili imekatika,umri unaenda,loooh...namuachia Mungu nimesurrender hii sekta for now
 
kusubiri mtu unasubiri,yani hata huo msamiati ndoa unaukwepa kabisaaa in his presence...tatizo ni uongo umezidiii banaa,ye ndo unakuta anaisema ndoa afu hana mpango wowote,ukija kugundua ts too late keshakufunua au ulimpa willingly coz unampenda,hata kama utaamua kusepa utabadilisha wanaume wangapiiiii???and mind you sio rahisi kama tunavoandika hapa unakuta mtu unampenda na falling out of love is harrrrd...kuja kupata mwingine hadi mshibane vizuri ujue intention zake unashangaa mwaka miaka miwili imekatika,umri unaenda,loooh...namuachia Mungu nimesurrender hii sekta for now

Hahahahaaaaa kweli hilo nalo neno mydia yaani haya mambo nikuomba na kumuachia tuu Mungu ndo anejua lipi zuri kwako.
 
sifa ya kwanza kubwa ya mwanaume hiyo "hasomeki akisomeka kuna namna".....bt usiogope nitakusaidia PM just nikaribishe tu

au potezea tu maaana ntachukua muda hadi nielewe
 
Ndoa ni makubaliano kati ya wawili.

Sio sahihi kulaumu upande mmoja.

Pande zote zilaumiane.
 
kusubiri mtu unasubiri,yani hata huo msamiati ndoa unaukwepa kabisaaa in his presence...tatizo ni uongo umezidiii banaa,ye ndo unakuta anaisema ndoa afu hana mpango wowote,ukija kugundua ts too late keshakufunua au ulimpa willingly coz unampenda,hata kama utaamua kusepa utabadilisha wanaume wangapiiiii???and mind you sio rahisi kama tunavoandika hapa unakuta mtu unampenda na falling out of love is harrrrd...kuja kupata mwingine hadi mshibane vizuri ujue intention zake unashangaa mwaka miaka miwili imekatika,umri unaenda,loooh...namuachia Mungu nimesurrender hii sekta for now
badiebey sijui hata nikwambieje .....ila cha muhimu usikate tamaa.....kama unadhani unafaa kuwa mke, wakati muafaka ukifika, utakuwa.
 
Last edited by a moderator:
wanashangaza sana hawa watu. hawajielewi wanachotaka. wakipigwa vibuti wanaanza kulia lia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom