kusubiri mtu unasubiri,yani hata huo msamiati ndoa unaukwepa kabisaaa in his presence...tatizo ni uongo umezidiii banaa,ye ndo unakuta anaisema ndoa afu hana mpango wowote,ukija kugundua ts too late keshakufunua au ulimpa willingly coz unampenda,hata kama utaamua kusepa utabadilisha wanaume wangapiiiii???and mind you sio rahisi kama tunavoandika hapa unakuta mtu unampenda na falling out of love is harrrrd...kuja kupata mwingine hadi mshibane vizuri ujue intention zake unashangaa mwaka miaka miwili imekatika,umri unaenda,loooh...namuachia Mungu nimesurrender hii sekta for now