Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,840
Kisa na mkasa......
nimekuchoka...umetupanga km nyanya kwenye tenga
Kisa na mkasa......
Ndio hiyvo tena mmezaliwa Africa inabidi muwe wapole tu, huku kwetu mwanamume hakosei na akikosea ni kosa la mwanamke.....
nothing special lakini mmezidi kutuchamba wanawake ati kisa tunaulizia ndoaKwani wat so special about gettin married :sly: coz naona pipo zipo sooooo desperate maskini kuoa/kuolewa laiti wangejua hizo sarakasi za ndoa heheheheeee wangejipanga ndoa ni majaaaaliwa wapendwa, mimi bado msafiri naja taratibu nawapisha wale warudio na waendao kwa haraka.
nimekuchoka...umetupanga km nyanya kwenye tenga
Leo nimepigiwa simu my new girl friend anaulizia lini nitaenda kujitambulisha kwa wazazi wake!Nina weeks ya 2 sasa nae kwenye mahusiano lkn tayari mentality yake ipo kwenye ndoa ahahahaha!Ana miaka 24 sasa!
Kama ana mtu na plan ni baada ya miaka miwili, huyo sio mchumba bali ni rafiki/mpenzi tu. Naamini uchumba kwa maana ya kufahamika na kutoa mahari tayari hauwezi kusubiri miaka miwili kufunga ndoa.
Akiamua kufungua milango ya mtongozo ni sawa tu kwa vile hakuna uhakika wa kuolewa hapo. Ni mama simu hizi watu kuitana mume wangu au mke wangu, wakati bado ni wapenzi tu, naona wanafurahisha nafsi zao tu. MankaM nikidhani umeolewa kumbe bado twaweza kurusha nyavu eeh!!
umeona haraka zako?? kumbe mnawaza ndoa vichwani mwenu
nothing special lakini mmezidi kutuchamba wanawake ati kisa tunaulizia ndoa
Sasa mbona kule umenikimbia mke wangu mie.....
mbona mi nilishakuachia huyo....mwanaume anabebiz wengi utafikiri idadi ya nywele...Simtaki