Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Sista sikuhz watu hawaogopi biti, Mtu anamkopa Mtu bahati mbaya aliyekopwa anafariki, msibani wanauliza anayedaiwa na marehemu Jamaa anakazaa, Ndo mana marehemu wa sikuhizi unakuta kafa lakini katoa macho ka tumbiri, watu hawalipi madeni
 
Kuna katabia kamezuka ka wanaume kukopa either girlfriend au marafiki zake halafu hawarudishi, kukopa sio kitu kibaya ila unavyokopa wakati huna mpango wa kurudisha sio uanaume na ubinadamu, yani mwanamke umkope papuchi na hela pia jamani? Ndo maana wanawake tunaonaga saa nyingine bora kutembea na wenye hela tu maana nyie tunaowavumilia na umaskini wenu bado mnakopa na vihela vyetu vidogo tulivyo navyo. As for me ukinikopa papuchi fresh sababu utamu tunapata wote ila hela yangi jamaani siwezi kukuelewa. Wanaume wa zamani hawakuwahi hivi halafu hawa wanaoaibisha jinsia ya kiume sasa hivi sijui wametokea wapi, kuna kesi nyingi sana mtaani za aina hii kijana anakuja na fix kibaooo unajua umepata mwanaume mfanye maisha kumbe kaja kukudanga, kwa style hii mpaka magufuli atoke madarakani kuna wanaume wataanza kujipanga barabarani nao wanunuliwe.
MWANAUME NGUVU YA KUTAFUTA PESA HUNA UNAPATA WAPI NGUVU YA KUMPANDA MWANAMKE?
Papuchi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sista sikuhz watu hawaogopi biti, Mtu anamkopa Mtu bahati mbaya aliyekopwa anafariki, msibani wanauliza anayedaiwa na marehemu Jamaa anakazaa, Ndo mana marehemu wa sikuhizi unakuta kafa lakini katoa macho ka tumbiri, watu hawalipi madeni
Yani watu woga umewaisha kabisa. Shida zinazidi aibu zinakimbia
 
Back
Top Bottom