Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanasema kila mwanamke (isipokuwa mama mzazi) anauza papuchi ila kinachotofautiana ni namna ya uuzaji.
Mimi sitaki ile mwanamke ananiambia, nigee elfu thelasini nikupe papuchi... Huyo namkatalia.
Ila yule ananiambia nitumie hela ya taxi nije, namkatia thirty, akija tunakula na kunywa kwa kutumia hela yangu, say nimeunguza elfu aroabaini, then akiondoka namtoa na elfu ishirini au thelasini nyingine. Jumla nakuwa nimempa mkononi kama elfu hamsini au sitini, ila pia si nimeingia gharama nyingine labda za gest au bata ndogo ndogo...
Hiyo biashara sawa. Ila yule anayetaka cash directly, hiyo biashara nimeikataa!
 
EE MUNGU VIJANA WA KIUME FUPISHA SIKU ZAO MAANA WANATUSABABISHA TUKUTENDE DHAMBI AU WATUMIE GHARIKA
Utapozeeka, jirani zako wana kazi kweli kweli(Utakuwa na maneno mengi ya Wahenga)
Unatuombea gharika!!!!???

Niliposoma comment yako ilibidi nicheke kwanza.
Ngoja tupambane na hali yetu.
 
Kwakwel hii tabia ina kera mnooo..mtu bila hata aibu anakwambia kabisa baby naomba ela nisogeze wiki kwel kabisa mwanaume mzima unaomba ela kwa msichana kabisaa,alaf apo ndo nitegemee utakuja kuwa baba bora wa familia hapana..maana huwa nawaza kama tu kupangilia bajet zako mwenyewe vzuri huwezi aya tukija kuwa na familia mimi si ndo nitakuwa mama na baba pia maana nijue mmekula,watoto wameenda shule na nk.
Na bora mtu aombe mara moja jaman kila mara yy ni kuomba tu aaaah,kwakwel hizi txt huwa zinanichoshaaa na huwa zinafanya upendo uishe kabisa
 
Back
Top Bottom