Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Uko sawa sema age nayo inadanganya, unamuona mtu unaaamini kwa age yake hawez fanya mambo ya wavulana kumbe nae wale wale
Kwa nini ukurupuke just take your time before you conclude.
Mambo mazuri hayataki haraka, ukijipa muda wa kutosha kutafakari hutojutia maamuzi yako.

Umekutana na mtu leo na kumpa papuchi leo kwa mfano alafu unasema age inadanganya?
 
Kwa nini ukurupuke just take your time before you conclude.
Mambo mazuri hayataki haraka, ukijipa muda wa kutosha kutafakari hutojutia maamuzi yako.

Umekutana na mtu leo na kumpa papuchi leo kwa mfano alafu unasema age inadanganya?
Huwez kusema hivyo ni makosa yako.
 
Basi sawaa Naomba unikopeshe Pampuchi chondechondee..Naombaa nna ugumu kwelii nna mienzi miwili cjaonana nayoo... nitakulipa nikipataa.. niamini...
 
Basi sawaa Naomba unikopeshe Pampuchi chondechondee..Naombaa nna ugumu kwelii nna mienzi miwili cjaonana nayoo... nitakulipa nikipataa.. niamini...
Bc sitaki tenaa mbona wakopaji wa hiyo bidhaa wako weng sanaaa....nlkuwa sjapitaa....[emoji11] [emoji5]
 
Back
Top Bottom