Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Wanaume Tabia ya Kukopa Wanawake Mmeanza Lini?

Hapana avatar usibadili sijui sababu nampenda pogba au sababu me ni man u hiyo sura ya kiume huwa nakuogopa tu na mambo mengine sio kuhusu avatar
Ona sasa tunavyoendana,wote Man utd njoo basi hata tuangalie mpira pamoja, tukishinda tunapongezana tukifungwa tunaliwazana..
 
Auntie acha tu halaf huwezi mdhania ukibadili dp anakuja anashare na wewe dp uliyoweka shunie looking good mwaaah akitoka hapo anaisave mama anatuma pm yaan nilikua namuona mkaka mmoja wa maana sana humu jf na vile anavyojiweka toka siku hiyo nipo makini sana na wakaka wa jf
Tena hao unaowaona wa maana ndio bure kabisaaa, umbea nilidhania ni sie wanawake ndio tunaupenda auntie, ila kwa hii midume ya humu tunasubiri sanaaaaa.
 
Tena hao unaowaona wa maana ndio bure kabisaaa, umbea nilidhania ni sie wanawake ndio tunaupenda auntie, ila kwa hii midume ya humu tunasubiri sanaaaaa.
Kama ulimuona 1 au 2 but huwez conclude hoja yako...
 
Hahaaa labda unipe rushwa kwanza, ile kitu pendwa ya wanaume, teh!
Khaaa rushwa tena halaf sio ya hela hapana nimeshindwa mie mbona huwa anaweka thread kanunua kwa mangi blue band iliyoexpire nipo nae hapa hapa kwa jiji la bashite
 
Back
Top Bottom