Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

Deodorant zishawekwa hadi bei kuna zingine nasikia elfu mbili na mia tano tu, lakini pia limao nalo kiboko ya kikwapa, kiwembe sh 200 nadhani, maji ndoo sh 100, sabuni kipande 100, mtu ashindwe mwenyewe tu usafi
Limao na tangawizi mkuu nwisho wa matatizo zinaondoa na nursing

Unajua majasho n mengine mkuu nuksi wametupiwa watu sio kila jasho linanzia kwenye mapambanoo

Mix by yas weka na tunguusaumu na tumeric shikilia kwapa nusu saa nipe ushuhuda
 
mKINYOA KWAPAN MKUMBUKE NA KULE PORINI JAMAN YAAN KUNA MZIGO NILIVUA NKAHISI MSITU WA HAMASIS NAVUKA HELANSHAPEWA UZURI TU ILINGIA INGEGOMA NINGEMWAMBIA KESHO NAYO SIKU
.MSIKATE TU KWAPAN HAYO MANYOYA YENU
 
Wakusikia nadhani wamesikia

N.b: Suala la usafi linategemea kati ya mtu na mtu
Naona umeongelea tu upande mmoja
Isitoshe siyo kila mwanaume ni mchafu au ananuka vikwapa
 
Kuna wale wanaonuka mdomo aisee, hii sio kwa wanawake wala wanaume, ni kwa wote. Najiulizaga hivi hawa wenza wao wanawezaje kuishi nao. Yani mtu unaongea nae ila ile harufu sasa inayotoka hapo mdomoni ni kashehe.[emoji2961]
 
Back
Top Bottom