Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,645
- 86,193
Na miadi ya kufanyanini babu hebu relax leo sabato tayari ushaivunja asubuhi tu!🙄Weekend hii tu una miadi, huwezi hilo nakuhakikishia..
Na miadi ya kufanyanini babu hebu relax leo sabato tayari ushaivunja asubuhi tu!🙄Weekend hii tu una miadi, huwezi hilo nakuhakikishia..
Ukiambiwa ukweli usikasirike, una miadi ya kuwekana..si umesema we sio GenZ.?Na miadi ya kufanyanini babu hebu relax leo sabato tayari ushaivunja asubuhi tu!🙄
Sasa kama sio ndio nina miadi? We mzee wewe hebu njoo taratibu..🙄Ukiambiwa ukweli usikasirike, una miadi ya kuwekana..si umesema we sio GenZ.?
Kwa vile unapenda jinsia yako, siamini unaweza kuisemea vizuri jinsi pinzaniNi ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje mwanaume umevaa vizuri tu ila unanuka kwapa na kuna vikata harufu vya kila aina kwa bajeti anayomudu mtanzania yoyote!!?
Juzi kati hapa nilikua sehemu nabarizi pembeni kulikua kuna wapendanao wanaogelea kwenye swimming pool, sijui ilikuaje yule mwanaume akanyanyua mikono juu yoh! nilihisi kutapika, makwapa yana manywele zimekua kama kapaka bleech yaani niliwaza sana yule mwanamke aliwezaje kukumbatiwa na mtu ana manywele yaliyochacha namna ile, nikawaza hiyo harufu ya kikwapa ikoje kwenye nguo zake na hata mwilini mwake, mmh wanawake wana huruma jamani ptuuuh!
Nimesikia kuna wengine wanavaa boxer mwezi mzima, seriously!!! unavaa nguo ya ndani mwezi mzima huo sio uchafu ni ukichaa kabisa hata humu mpoooo jirekebisheni, nyie ndio mnawapa wanawake zenu mafangasi ya uke,🤢
Hapo sijagusa wale mwenye uso mchafu pua imejaa vidude dude vyeupe, kidevuni ndio usiseme, hivi nyie wanawake mnawezaje kuwakiss watu wa hivyo mbona kinyaa jamani, scrub ya elfu 5 tu nayo mzozo!!
Ushauri wangu konky kwa wanawake kama mwanaume wako hajitunzi, hajipendi, ananuka makwapa, hataki kushave, tengenezeni kikundi chenu cha watu watano watano au kumi, mnakua mnasaidiana kukamkaba huyo mwanaume mchafu na kumfanyisha usafi kwa nguvu, eeh mbona mama zao walikua wanawakaba kunywa uji au wanawapiga bakora wakaoge, hebu anzeni hiyo kampeni mtokomeze harufu za vikwapa barabarani, mnatupa tabu sisi wengine yaani ukipishana na kundi la wanaume ni lazima uzibe pumzi ili tu ile harufu mbaya usiisikie,
Na nyie mnaoishi kwenye mikoa ya baridi habari zenu tunazo, mnakaa hata miezi mitatu hamuogi, mnanawa tu uso na kinywa, jamani uvundo lazima uwepo msijipe moyo ooh kuna baridi kwapa langu halitosikika harufu, tunasikia, wengine pua zetu nyembamba ndefu zinanusa hizo balaa,
Povu ruksaaaaaa😤😬
Sasa hivi kuna vile visplash vya 2k mtu hawezi shindwa kama anajijali.Ni ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje mwanaume umevaa vizuri tu ila unanuka kwapa na kuna vikata harufu vya kila aina kwa bajeti anayomudu mtanzania yoyote!!?
Juzi kati hapa nilikua sehemu nabarizi pembeni kulikua kuna wapendanao wanaogelea kwenye swimming pool, sijui ilikuaje yule mwanaume akanyanyua mikono juu yoh! nilihisi kutapika, makwapa yana manywele zimekua kama kapaka bleech yaani niliwaza sana yule mwanamke aliwezaje kukumbatiwa na mtu ana manywele yaliyochacha namna ile, nikawaza hiyo harufu ya kikwapa ikoje kwenye nguo zake na hata mwilini mwake, mmh wanawake wana huruma jamani ptuuuh!
Nimesikia kuna wengine wanavaa boxer mwezi mzima, seriously!!! unavaa nguo ya ndani mwezi mzima huo sio uchafu ni ukichaa kabisa hata humu mpoooo jirekebisheni, nyie ndio mnawapa wanawake zenu mafangasi ya uke,🤢
Hapo sijagusa wale mwenye uso mchafu pua imejaa vidude dude vyeupe, kidevuni ndio usiseme, hivi nyie wanawake mnawezaje kuwakiss watu wa hivyo mbona kinyaa jamani, scrub ya elfu 5 tu nayo mzozo!!
Ushauri wangu konky kwa wanawake kama mwanaume wako hajitunzi, hajipendi, ananuka makwapa, hataki kushave, tengenezeni kikundi chenu cha watu watano watano au kumi, mnakua mnasaidiana kukamkaba huyo mwanaume mchafu na kumfanyisha usafi kwa nguvu, eeh mbona mama zao walikua wanawakaba kunywa uji au wanawapiga bakora wakaoge, hebu anzeni hiyo kampeni mtokomeze harufu za vikwapa barabarani, mnatupa tabu sisi wengine yaani ukipishana na kundi la wanaume ni lazima uzibe pumzi ili tu ile harufu mbaya usiisikie,
Na nyie mnaoishi kwenye mikoa ya baridi habari zenu tunazo, mnakaa hata miezi mitatu hamuogi, mnanawa tu uso na kinywa, jamani uvundo lazima uwepo msijipe moyo ooh kuna baridi kwapa langu halitosikika harufu, tunasikia, wengine pua zetu nyembamba ndefu zinanusa hizo balaa,
Povu ruksaaaaaa😤😬
Ushawahi kukutana na vile vikundi vya jogging? Ha ha ha imagine makwapa 23 yanatema kwa wakati mmojaNani kakwambia harufu ya kibeberu ni stahamilivu!? mnatupa tabu bhana kunuka sio sifa, na hao wanawake wanaonuka kisamaki maradhi mnawapa nyie msiofua boxer zenu wala mashuka, usmart uendane na usafi
Hua nawapita kwa mbaaaaaali kabisa,Ushawahi kukutana na vile vikundi vya jogging? Ha ha ha imagine makwapa 23 yanatema kwa wakati mmoja
Inabidi wajuzwe wengi hufikiri kunukia ni gharama sanaSasa hivi kuna vile visplash vya 2k mtu hawezi shindwa kama anajijali.
Haijalishi ila penye matatizo pasemweeeeKwa vile unapenda jinsia yako, siamini unaweza kuisemea vizuri jinsi pinzani
Sio vita tunakumbushana usafi jamani,Hii vita uloanzisha huwezi imaliza
Mari miss you bebe
Tatizo kwapa linatema isiponyoa. Dawa ya kwapa kutoa harufu ni kuondoa nywele zote katika kwapa.Haijalishi ila penye matatizo pasemweeee
Hii ni acid nyingi mzee mbona vitu vingine viko wazi tu?Wapo wadada wa namna hiyo pia! Je wajua? Je umewafikia? Umepata response gani toka kwao na ukawasaidiaje?
View attachment 3631670
mwanaume kunuka jasho muhimu kwa sababu ya kazi nzito.
mwanzo nilijuaga wew ni KE.Sio vita tunakumbushana usafi jamani,
Miss you too bebe
Ewaaa ndio nilichoshauri, nywele zitolewe zisiachwe hadi zibadilike rangi, kama mtu anaona uvivu kushave mara kwa mara afanye waxing inachelewesha kuota.Tatizo kwapa linatema isiponyoa. Dawa ya kwapa kutoa harufu ni kuondoa nywele zote katika kwapa.
Zama za jinsi na jinsia zishaisha, wewe enjoy mada nzuri kutoka kwa daktareeeemwanzo nilijuaga wew ni KE.
siku za hv karibun ukaandka uz kama ME.
leo tena jamaa amekuambia amekumis, tena amekuita marr duu.
wew ni KE au ME?
Mimi hutumia majivu! Kuzipukuchua hizo nywele. Hutasikia kikwapa hata mara mojaEwaaa ndio nilichoshauri, nywele zitolewe zisiachwe hadi zibadilike rangi, kama mtu anaona uvivu kushave mara kwa mara afanye waxing inachelewesha kuota.
Huwezi kufunika kikwapa kwa manukato! Kuondoa vinywele ndiyo dawa pekee!Inabidi wajuzwe wengi hufikiri kunukia ni gharama sana
Nimewahi kumsalim mtu yule yule mara mbili, tulikwenda site na baba yangu, tukamkuta fundi amevaa singlendi, jeans chakavu na mzura, baba akamwambia huyo fundi aje nyumbani na wenzake kula chakula wasihangaike kupika, tulipofika nyumbani tukakaa kama nusu saa wale mafundi wakaja ila walikuwa wameulamba mkandaa nje ndipo nikajikuta namsalimu yule ambaye sikumtambua site kutokana na mvao wakemwanaume kunuka jasho muhimu kwa sababu ya kazi nzito.
Kuna wengne tunatoka tumevaa vizuri ila nguo za kaz zimo kwa begi.
kwahyo jion tukimalza kazi tunavaa nguo safi ili jamii istushangae kama misukule.
We ulisema 'ukibeberu' ndo uanaume wewe...unataka nini sasa toka kwetu, pesa na ubeberu iz iqo uvumilivu wenu 🤣Huyo bado binti, ni jasho la balehe ataelekezwa usafi itaisha, kimbembe ni hawa wanaume waliokomaa kila idara ila jasho kali kama beberu mzee