Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,522
- 18,252
- Thread starter
- #141
Baada ya kazi kaoge, nyoa makwapa au fanya waxing zichelewe kuotaTunafanya kazi nzito bwana msituzingue!!
Baada ya kazi kaoge, nyoa makwapa au fanya waxing zichelewe kuotaTunafanya kazi nzito bwana msituzingue!!
Wapee dawaa else hata wakoo atanuka sanaNi ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje mwanaume umevaa vizuri tu ila unanuka kwapa na kuna vikata harufu vya kila aina kwa bajeti anayomudu mtanzania yoyote!!?
Juzi kati hapa nilikua sehemu nabarizi pembeni kulikua kuna wapendanao wanaogelea kwenye swimming pool, sijui ilikuaje yule mwanaume akanyanyua mikono juu yoh! nilihisi kutapika, makwapa yana manywele zimekua kama kapaka bleech yaani niliwaza sana yule mwanamke aliwezaje kukumbatiwa na mtu ana manywele yaliyochacha namna ile, nikawaza hiyo harufu ya kikwapa ikoje kwenye nguo zake na hata mwilini mwake, mmh wanawake wana huruma jamani ptuuuh!
Nimesikia kuna wengine wanavaa boxer mwezi mzima, seriously!!! unavaa nguo ya ndani mwezi mzima huo sio uchafu ni ukichaa kabisa hata humu mpoooo jirekebisheni, nyie ndio mnawapa wanawake zenu mafangasi ya uke,🤢
Hapo sijagusa wale mwenye uso mchafu pua imejaa vidude dude vyeupe, kidevuni ndio usiseme, hivi nyie wanawake mnawezaje kuwakiss watu wa hivyo mbona kinyaa jamani, scrub ya elfu 5 tu nayo mzozo!!
Ushauri wangu konky kwa wanawake kama mwanaume wako hajitunzi, hajipendi, ananuka makwapa, hataki kushave, tengenezeni kikundi chenu cha watu watano watano au kumi, mnakua mnasaidiana kukamkaba huyo mwanaume mchafu na kumfanyisha usafi kwa nguvu, eeh mbona mama zao walikua wanawakaba kunywa uji au wanawapiga bakora wakaoge, hebu anzeni hiyo kampeni mtokomeze harufu za vikwapa barabarani, mnatupa tabu sisi wengine yaani ukipishana na kundi la wanaume ni lazima uzibe pumzi ili tu ile harufu mbaya usiisikie,
Na nyie mnaoishi kwenye mikoa ya baridi habari zenu tunazo, mnakaa hata miezi mitatu hamuogi, mnanawa tu uso na kinywa, jamani uvundo lazima uwepo msijipe moyo ooh kuna baridi kwapa langu halitosikika harufu, tunasikia, wengine pua zetu nyembamba ndefu zinanusa hizo balaa,
Povu ruksaaaaaa😤😬
Yaani jasho la mwanamke liwe kali kuliko la mwanaume!!! HAPANA haiwezekani, harufu ya kibeberu haivumiliki sijui lakini ila kwa mimi hapana nitaumwaaaaa,Harufu ya Me inavumilika sio ya mwanamke, jasho la Ke linatema dadeki. Sijui huwa no jasho pekee au kuna vingine vibatoaga harufu.
Mwanaume anaetoa kiharufu mara tatizo hua ni maji, kuoga ni kamzozo.
Ila Ke wanaoga daily ila bado changamoto.
Dr. Mariposa pole sana ila kwenye mambo ya usafi kwa sisi wanaume hutegemea sana na kazi anayofanya kuna baadhi ya kazi usafi labda iwe hulka ya mtu ila ni hawaogi.
Balaaaaaa la taifa hilo hatareeeNi ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje mwanaume umevaa vizuri tu ila unanuka kwapa na kuna vikata harufu vya kila aina kwa bajeti anayomudu mtanzania yoyote!!?
Juzi kati hapa nilikua sehemu nabarizi pembeni kulikua kuna wapendanao wanaogelea kwenye swimming pool, sijui ilikuaje yule mwanaume akanyanyua mikono juu yoh! nilihisi kutapika, makwapa yana manywele zimekua kama kapaka bleech yaani niliwaza sana yule mwanamke aliwezaje kukumbatiwa na mtu ana manywele yaliyochacha namna ile, nikawaza hiyo harufu ya kikwapa ikoje kwenye nguo zake na hata mwilini mwake, mmh wanawake wana huruma jamani ptuuuh!
Nimesikia kuna wengine wanavaa boxer mwezi mzima, seriously!!! unavaa nguo ya ndani mwezi mzima huo sio uchafu ni ukichaa kabisa hata humu mpoooo jirekebisheni, nyie ndio mnawapa wanawake zenu mafangasi ya uke,🤢
Hapo sijagusa wale mwenye uso mchafu pua imejaa vidude dude vyeupe, kidevuni ndio usiseme, hivi nyie wanawake mnawezaje kuwakiss watu wa hivyo mbona kinyaa jamani, scrub ya elfu 5 tu nayo mzozo!!
Ushauri wangu konky kwa wanawake kama mwanaume wako hajitunzi, hajipendi, ananuka makwapa, hataki kushave, tengenezeni kikundi chenu cha watu watano watano au kumi, mnakua mnasaidiana kukamkaba huyo mwanaume mchafu na kumfanyisha usafi kwa nguvu, eeh mbona mama zao walikua wanawakaba kunywa uji au wanawapiga bakora wakaoge, hebu anzeni hiyo kampeni mtokomeze harufu za vikwapa barabarani, mnatupa tabu sisi wengine yaani ukipishana na kundi la wanaume ni lazima uzibe pumzi ili tu ile harufu mbaya usiisikie,
Na nyie mnaoishi kwenye mikoa ya baridi habari zenu tunazo, mnakaa hata miezi mitatu hamuogi, mnanawa tu uso na kinywa, jamani uvundo lazima uwepo msijipe moyo ooh kuna baridi kwapa langu halitosikika harufu, tunasikia, wengine pua zetu nyembamba ndefu zinanusa hizo balaa,
Povu ruksaaaaaa😤😬
Na umewaza hiyo harufu kali ya jasho unanukisha wengine au unatumia deodorant ya 48 hoursdar maji n ya chumvi. nikivaa shati sku moja afu nifue manake baada ya week au mwezi hilo shati lishapauka halifai. ndo mana angalau tunaforce kuvaa hata sku 2.
Hasira hazisaidii, jisafishe makwapa na ufue boxer, usafi huanzia mwilini kwakoMpaka ukajua linanukia vipi bila shaka ulilisogelea.🤗
Acha umalaya na maisha ya watu
Deodorant zishawekwa hadi bei kuna zingine nasikia elfu mbili na mia tano tu, lakini pia limao nalo kiboko ya kikwapa, kiwembe sh 200 nadhani, maji ndoo sh 100, sabuni kipande 100, mtu ashindwe mwenyewe tu usafiBalaaaaaa la taifa hilo hatareee
Weken na aina ya dawa kuwasaidia jamaanu ama deodo.....
Nini bwana wee kaoge huko!
Kuoga once per week, hakuna kinachonyolewa hadi ziwe na rangi ya hudhurungi.Baada ya kazi kaoge, nyoa makwapa au fanya waxing zichelewe kuota
Hapa tuu mm hoi 😂Ushauri wangu konky kwa wanawake kama mwanaume wako hajitunzi, hajipendi, ananuka makwapa, hataki kushave, tengenezeni kikundi chenu cha watu watano watano au kumi, mnakua mnasaidiana kukamkaba huyo mwanaume mchafu na kumfanyisha usafi kwa nguvu
Me.Situlikubaliana boxer kufuwa mpak hiwe kam sket.Ni ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje mwanaume umevaa vizuri tu ila unanuka kwapa na kuna vikata harufu vya kila aina kwa bajeti anayomudu mtanzania yoyote!!?
Juzi kati hapa nilikua sehemu nabarizi pembeni kulikua kuna wapendanao wanaogelea kwenye swimming pool, sijui ilikuaje yule mwanaume akanyanyua mikono juu yoh! nilihisi kutapika, makwapa yana manywele zimekua kama kapaka bleech yaani niliwaza sana yule mwanamke aliwezaje kukumbatiwa na mtu ana manywele yaliyochacha namna ile, nikawaza hiyo harufu ya kikwapa ikoje kwenye nguo zake na hata mwilini mwake, mmh wanawake wana huruma jamani ptuuuh!
Nimesikia kuna wengine wanavaa boxer mwezi mzima, seriously!!! unavaa nguo ya ndani mwezi mzima huo sio uchafu ni ukichaa kabisa hata humu mpoooo jirekebisheni, nyie ndio mnawapa wanawake zenu mafangasi ya uke,🤢
Hapo sijagusa wale mwenye uso mchafu pua imejaa vidude dude vyeupe, kidevuni ndio usiseme, hivi nyie wanawake mnawezaje kuwakiss watu wa hivyo mbona kinyaa jamani, scrub ya elfu 5 tu nayo mzozo!!
Ushauri wangu konky kwa wanawake kama mwanaume wako hajitunzi, hajipendi, ananuka makwapa, hataki kushave, tengenezeni kikundi chenu cha watu watano watano au kumi, mnakua mnasaidiana kukamkaba huyo mwanaume mchafu na kumfanyisha usafi kwa nguvu, eeh mbona mama zao walikua wanawakaba kunywa uji au wanawapiga bakora wakaoge, hebu anzeni hiyo kampeni mtokomeze harufu za vikwapa barabarani, mnatupa tabu sisi wengine yaani ukipishana na kundi la wanaume ni lazima uzibe pumzi ili tu ile harufu mbaya usiisikie,
Na nyie mnaoishi kwenye mikoa ya baridi habari zenu tunazo, mnakaa hata miezi mitatu hamuogi, mnanawa tu uso na kinywa, jamani uvundo lazima uwepo msijipe moyo ooh kuna baridi kwapa langu halitosikika harufu, tunasikia, wengine pua zetu nyembamba ndefu zinanusa hizo balaa,
Povu ruksaaaaaa😤😬
Kumbe suluhisho ni wanyimwe, basi kwenye kikao chetu cha mwisho wa mwezi tutaambizana hiliPesa hizi ndo zinawafanya vijana wengine wasione tofauti ya kufua boxer na kutokufua maana unakuta akituma nauli tu mtu mbio huyu hapa haulizi kama umefua boxer au umeoga yeye anataka mmalizane awahi vikoba na kijana anajisahau maana usafi wake ni kwa ajili ya hiyo kitu na anaipata bila masharti ya usafi. Kijana akishanyimwa mara mbili tatu sababu ya uchafu ataoga aipate.
Umeimagine mtu anavyokamatwa kwa nguvu na kikundi cha watu watano😂😂Hapa tuu mm hoi 😂
Kwamba wenzio watakubali kuacha ela ili wamfundishe kijana kuoga sijui kunyoa? Kila la heri.Kumbe suluhisho ni wanyimwe, basi kwenye kikao chetu cha mwisho wa mwezi tutaambizana hili
Hii ndio ile alosema Castle_Lite ikivuliwa inasimama yenyeweMe.Situlikubaliana boxer kufuwa mpak hiwe kam sket.
Halafu n ili aogeshwe tuu 😂Umeimagine mtu anavyokamatwa kwa nguvu na kikundi cha watu watano😂😂
Vinavyonukaga vibaya aki sitaweza😣Siogi na utaimbia mic bila kujiuliza.
Vinini?Vinavyonukaga vibaya aki sitaweza😣