Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,476
- 18,102
- Thread starter
- #21
Naam, muungwana akivuliwa nguo huchutamaTutajisafisha...
Naam, muungwana akivuliwa nguo huchutamaTutajisafisha...
Bora useme wewe Komando,Mambo ya wanaume wa Dar hayo. Utawakuta kwenye Daladala amevaa singlend yake makwapa yakiwa nje yanatema balaa.
Inasikitisha, plus alafu ya Pumbu wakiwa wamevaa vibukta vyao kwenye daladala.
Leo wanaongelewa wanaume na makwapa yao machafuNahisi swala la usafi ni hulka ya mtu tu na wala si jinsia.
Maana kuna mabinti nao wamejaaliwa vundo la mwili.
Kuna wengine hawapendi yanyolewe, wanataka msitu wapotelee humoWanawake wengine hawanyoi mavuzi yao. Unaitafuta kei kwenye msitu mkali kwa muda mwingi.
Haipendezi !
Si kweli, mada ya usafi inafundishwa hadi mashuleni, ni wajibu wetu kukumbushana, harufu ya jasho inakera bhanahahaa naona unalipa madongo yanayorushwa kwa single mothers...
Hahahahahahaha walai umenivunja mbavu, mmh jasho hilo kali halafu kwenye train, siwezi kukaa na mtu wa hivyo nitapaliwa, nitazimia.umenikumbusha kitu..!
Juzi nilikuwa kwenye train kikapita ‘kifaa’, kwanza ilitangulia harufu kali ya jasho, natazama mbele naona mtu kavaa wigi lake, kapaka lipstick mdomoni, kabandika zake kucha tena ndefu tu, (unaziona kwa ile swaga ya kurudisha wigi nyuma kwa mbwembwe😹), mikope kama yote, ila sura saaaasaaa ikanishtua,
Nikajiuliza mwanamke ananukaje harufu kali hivi ya jasho hata hajishtukii.!? kumtazama vyema, jizoooozii, kakomaa balaa, miguuni kavaa vikuku ila milonjo ina vigimbi vya Usain Bolt, kavaa kila kitu cha kike ila muonekano, haiba, harufu vinamgomea kabisa kuwa mwanamke..!
Nikajiambia tu afadhali hii harufu siyo ya mwanamke maana ingekuwa ni udhalilishaji kwenye (UWD), Umoja wa Wanawake Duniani walaqhi’..!!🙌🏾
Dah, muache hiyo tabia mara Moja.Kuna wengine hawapendi yanyolewe, wanataka msitu wapotelee humo
Viwete na viziwi ni walemavu unadhani wewe kunuka kwako makwapa ni ulemavu? hapana mwehu ndama anza usafi kuanzia leo utaona matokeo yakenaona umeamua kuja kumsimanga mzazi mwenzio humu jeiefuu ...Ukimaliza anza kuwasema viwete na viziwi
Ni kichefu chefuHalafu unakuta ananiambia ninyonye uku chini damnit 😂
Hata beberu ndio Hivyo Hivyo,hii ni kujitofautisha na wanawake!Ni ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje mwanaume umevaa vizuri tu ila unanuka kwapa na kuna vikata harufu vya kila aina kwa bajeti anayomudu mtanzania yoyote!!?
Juzi kati hapa nilikua sehemu nabarizi pembeni kulikua kuna wapendanao wanaogelea kwenye swimming pool, sijui ilikuaje yule mwanaume akanyanyua mikono juu yoh! nilihisi kutapika, makwapa yana manywele zimekua kama kapaka bleech yaani niliwaza sana yule mwanamke aliwezaje kukumbatiwa na mtu ana manywele yaliyochacha namna ile, nikawaza hiyo harufu ya kikwapa ikoje kwenye nguo zake na hata mwilini mwake, mmh wanawake wana huruma jamani ptuuuh!
Nimesikia kuna wengine wanavaa boxer mwezi mzima, seriously!!! unavaa nguo ya ndani mwezi mzima huo sio uchafu ni ukichaa kabisa hata humu mpoooo jirekebisheni, nyie ndio mnawapa wanawake zenu mafangasi ya uke,🤢
Hapo sijagusa wale mwenye uso mchafu pua imejaa vidude dude vyeupe, kidevuni ndio usiseme, hivi nyie wanawake mnawezaje kuwakiss watu wa hivyo mbona kinyaa jamani, scrub ya elfu 5 tu nayo mzozo!!
Ushauri wangu konky kwa wanawake kama mwanaume wako hajitunzi, hajipendi, ananuka makwapa, hataki kushave, tengenezeni kikundi chenu cha watu watano watano au kumi, mnakua mnasaidiana kukamkaba huyo mwanaume mchafu na kumfanyisha usafi kwa nguvu, eeh mbona mama zao walikua wanawakaba kunywa uji au wanawapiga bakora wakaoge, hebu anzeni hiyo kampeni mtokomeze harufu za vikwapa barabarani, mnatupa tabu sisi wengine yaani ukipishana na kundi la wanaume ni lazima uzibe pumzi ili tu ile harufu mbaya usiisikie,
Na nyie mnaoishi kwenye mikoa ya baridi habari zenu tunazo, mnakaa hata miezi mitatu hamuogi, mnanawa tu uso na kinywa, jamani uvundo lazima uwepo msijipe moyo ooh kuna baridi kwapa langu halitosikika harufu, tunasikia, wengine pua zetu nyembamba ndefu zinanusa hizo balaa,
Povu ruksaaaaaa😤😬
Thank youuuu, nashukuru pia umewawekea bei ya deodorant labda walidhani kunukia ni gharama, wakishindwa kabisa wajisugue na limao makwapaniSwala la kunuka Jasho ni serious case hasa mikoa ya Joto kma DSM & Moro.
Na shida ya Jasho muhusika ni kama anakua kaizoea harufu, ila majirani ndo kazi mnayo.
Nakazia Deodorant ni 6000/= unatumia mwezi mzima, Itakuokoa na Mengi maana shida ya wanaume sio kuoga ila ni KURUDIA NGUO hasa masharti/tshirt
Nahisi wenyewe hawaiskiagi,.Huyo bado binti, ni jasho la balehe ataelekezwa usafi itaisha, kimbembe ni hawa wanaume waliokomaa kila idara ila jasho kali kama beberu mzee
Hili ni suala mtambuka mkuu.Ni ijumaa nyingine tulivu kabisa, nikiwa nafukiza udi nyumbani kwangu nikakumbuka kitu hiki, ukipishana na wanaume jamani ni aidha uzibe pua au ukubali kunukishwa harufu mbaya ya kwapa, inakuaje mwanaume umevaa vizuri tu ila unanuka kwapa na kuna vikata harufu vya kila aina kwa bajeti anayomudu mtanzania yoyote!!?
Juzi kati hapa nilikua sehemu nabarizi pembeni kulikua kuna wapendanao wanaogelea kwenye swimming pool, sijui ilikuaje yule mwanaume akanyanyua mikono juu yoh! nilihisi kutapika, makwapa yana manywele zimekua kama kapaka bleech yaani niliwaza sana yule mwanamke aliwezaje kukumbatiwa na mtu ana manywele yaliyochacha namna ile, nikawaza hiyo harufu ya kikwapa ikoje kwenye nguo zake na hata mwilini mwake, mmh wanawake wana huruma jamani ptuuuh!
Nimesikia kuna wengine wanavaa boxer mwezi mzima, seriously!!! unavaa nguo ya ndani mwezi mzima huo sio uchafu ni ukichaa kabisa hata humu mpoooo jirekebisheni, nyie ndio mnawapa wanawake zenu mafangasi ya uke,🤢
Hapo sijagusa wale mwenye uso mchafu pua imejaa vidude dude vyeupe, kidevuni ndio usiseme, hivi nyie wanawake mnawezaje kuwakiss watu wa hivyo mbona kinyaa jamani, scrub ya elfu 5 tu nayo mzozo!!
Ushauri wangu konky kwa wanawake kama mwanaume wako hajitunzi, hajipendi, ananuka makwapa, hataki kushave, tengenezeni kikundi chenu cha watu watano watano au kumi, mnakua mnasaidiana kukamkaba huyo mwanaume mchafu na kumfanyisha usafi kwa nguvu, eeh mbona mama zao walikua wanawakaba kunywa uji au wanawapiga bakora wakaoge, hebu anzeni hiyo kampeni mtokomeze harufu za vikwapa barabarani, mnatupa tabu sisi wengine yaani ukipishana na kundi la wanaume ni lazima uzibe pumzi ili tu ile harufu mbaya usiisikie,
Na nyie mnaoishi kwenye mikoa ya baridi habari zenu tunazo, mnakaa hata miezi mitatu hamuogi, mnanawa tu uso na kinywa, jamani uvundo lazima uwepo msijipe moyo ooh kuna baridi kwapa langu halitosikika harufu, tunasikia, wengine pua zetu nyembamba ndefu zinanusa hizo balaa,
Povu ruksaaaaaa😤😬
Weeee 🤣💦💦💦Safisha makwapa Manyanza, tunapata tabu sana tukipishana na nyie, usafi ni jukumu la kila mmoja wetu
KAZI ngumu, lazima kwapa lichemke!