Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

Kwa kweli inabidi elimu ya usafi itolewe zaidi, ila wenye matatizo hayo ya kiafya ni wachache, wengi wao ni uchafu wa mwili na nguo, kwa Dsm hii mtu anavaa shati siku mbili au tatu kweli jamaniiii,
Nakwambia wakabwe waoshwe makwapa wasuguliwe na limao
dar maji n ya chumvi. nikivaa shati sku moja afu nifue manake baada ya week au mwezi hilo shati lishapauka halifai. ndo mana angalau tunaforce kuvaa hata sku 2.
 
Mkimaliza kuwasema wanaume,.
Tuje kwa wadada Jamani kuna MABINTI wananuka kwapa,. Yaani kwapa la binti linatoa harufu kama la mwanaume 🥺🥺
Harufu ya Me inavumilika sio ya mwanamke, jasho la Ke linatema dadeki. Sijui huwa no jasho pekee au kuna vingine vibatoaga harufu.

Mwanaume anaetoa kiharufu mara tatizo hua ni maji, kuoga ni kamzozo.
Ila Ke wanaoga daily ila bado changamoto.

Dr. Mariposa pole sana ila kwenye mambo ya usafi kwa sisi wanaume hutegemea sana na kazi anayofanya kuna baadhi ya kazi usafi labda iwe hulka ya mtu ila ni hawaogi.
 
Nani kakwambia harufu ya kibeberu ni stahamilivu!? mnatupa tabu bhana kunuka sio sifa, na hao wanawake wanaonuka kisamaki maradhi mnawapa nyie msiofua boxer zenu wala mashuka, usmart uendane na usafi
Hahahaaa wanawake sometimes huwa hamsomeki.
Nakumbuka kipindi nipo 20s nilikuwa na mahusiano na manzi flani nikamjaza kitumbo akawa ananiganda sana.
Baada ya show alipenda kusogeza pua zake kwenye kwapa zangu eti anasikilizia harufu ya kile kijasho chepesi kinampa mzuka sana!
Na kabla ya kwenda kuoga ananibembeleza nijifutie vest yangu jasho langu then anabaki nayo pembeni kwajili ya ku sense kijasho changu!
 
Usafi ni muhimu sana...kwa zama hizi zipo Deodorant hadi za eflu 2 mia 5 ,ndoo ya maji Ths 100 tena kuna vyoo vya kulipia kuoga jero.

Kunuka kwapa ni uchavu uliopitiliza.

Wanawake wanaongoza kwa usafi ukiachilia changamoto ndogo ndogo za kwa Bi Nyau.
Toa neno ndogo ndogo
 
Back
Top Bottom