Shangaa na ww? Makubwa hayayaani nikupe papuchi na kondomu ninunue?
Shangaa na ww? Makubwa hayayaani nikupe papuchi na kondomu ninunue?
Maambukizi yapo kwenye dhahabu sio kwenye makinikiaMaumbile ya mwanamke ukimwagiwa makinikia yenye maambukizi una nafasi kubwa ya kuupata
Hata wanaume siku hizi wanajiuzaAcheni kujiuza na kupenda kuhongwa, maana hayo yanawafanya msiwe na maamuzi ktk kugegedana kuhofia kukosa pesa.
Kweli wapo nao, lakini wanawake wanakuwa ktk risk kubwa kutokana hali yao ya kimaumbile.Hata wanaume siku hizi wanajiuza
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Hata wanaume siku hizi wanajiuza
Wanawake wanaojiuza asilimia kubwa wapo safe. Hata wanunuaji huchukua tahadhari.Mwanamke pekee anaekulazimisha kuvaa condom ni malaya wanaojiuza. Hawa dada zangu wa mtaani uvae usivae shauri lako. Me huwa naangalia na demu wengine navaa wengine sivai maana mi ndo mpangaji
Zinawasha. Matumbo yanajaa gasMbona wanawake mnajitoa kwenye swala la kutumia condom? Nyie mna condom zenu lakini hamzinunui kwa wingi mnabaki kuhamasisha wanaume wanunue na wavae
-mikononyuma-
Hivi "HI Virus" vipo kwenye sperm?Maumbile ya mwanamke ukimwagiwa makinikia yenye maambukizi una nafasi kubwa ya kuupata
Baki njia Kuu+ kila MTU abaki njia kuu.UKIMWI haukwepeki kwa njia hii mkuu dawa ni kupima tuu na mwenzi hii inapunguza chances kwa asilimia kadhaa sio zote maana mkiwa ndani ya uhusiano pia unaweza ukaletewa UKIMWI huwezi kuendesha kampeni za kuzuia ukimwi kwa kuwaambia watu waache ngono wakati unajua kabisa kuwa ni mambo ambayo haiwezekani
Heri lipi shosti kujilipua au kukopa ukimwi deni la maisha!??unanunuaje condom shosti? papuchi ujilipue kutoa na mpira ukanunue?
Yeah,nilikuwa sasahivi sifanyi ngono.....nitafanya tendo la ndoa soon.[emoji4]Ulikuwa..!
Ndio huwa mnanuna uongo kwaniii!???Hapo kwenye nyekundu umenipa maswali mengi sana
Hongera snYeah,nilikuwa sasahivi sifanyi ngono.....nitafanya tendo la ndoa soon.[emoji4]
Vipi Hako kautafiti umekafanya kwa wangapi?🙂🙂Ndio huwa mnanuna uongo kwaniii!???
Thanks boo[emoji5]Hongera sn