Wanaume ndio wasambazaji wa HIV

Wanaume ndio wasambazaji wa HIV

hao wanaume ukimwi wanapata wapi au tunaambukizana wenyewe kwa wenyewe??

kwani kondomu za kike hakuna ?
Mamende mjini ni wengi na wimbi la men who have sex with men ni kubwa Tena ni la siri
 
Lakini kumbuka kuwa condom hupasuka, wengine huzitoboa bila mwanamke kujua na wakati mwingine huchomoka!
Muhimu pima tena ikibidi rudia tena baada miezi mitatu then ndo mfikirie kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaume wanapenda ngono
wanaume hawapendi kutumia kinga,
pia hawapendi kucheki afya zao kabla ya tendo.
nawashauri wanawake tuwe makini sana .kama mtu hataki mkapimane achana nae .maisha yenyewe yashakuwa ya stress kwanini kujitafutia matatizo mengine?
inatokea shetani amekuingilia unamkubalia mtu mkienda hoteli unashangaa anataka kukuingilia hana hata kinga ukimuuliza vipi anasema bwana sisi wazima usipokuwa mkali ndo imetoka hivo yaani.
kwa wale ambao tushasalimika basi tujirekebishe kama huwezi kuacha ngono kabisa kama kina sisi basi chukua hatua cha kucheza salama
siku njema wadau sitaki ugomvi tena mi mtu mzima
umeongea vema haswa,ukweli mtupu inabidi na sisi wanaume tuliangalie sana suala hilo
 
Kwa unachokiongelea practically hakiwezekani kwa wengi walioamua kuwa wapenzi au wachumba...mnatumia siku ya kwanza...siku ya pili ...then dry...

Muhimu ni kuweka hofu ya Mungu kabla ya maamuzi haya yanayogharimu sana maisha

germve himself
 
wanaume wanapenda ngono
wanaume hawapendi kutumia kinga,
pia hawapendi kucheki afya zao kabla ya tendo.
nawashauri wanawake tuwe makini sana .kama mtu hataki mkapimane achana nae .maisha yenyewe yashakuwa ya stress kwanini kujitafutia matatizo mengine?
inatokea shetani amekuingilia unamkubalia mtu mkienda hoteli unashangaa anataka kukuingilia hana hata kinga ukimuuliza vipi anasema bwana sisi wazima usipokuwa mkali ndo imetoka hivo yaani.
kwa wale ambao tushasalimika basi tujirekebishe kama huwezi kuacha ngono kabisa kama kina sisi basi chukua hatua cha kucheza salama
siku njema wadau sitaki ugomvi tena mi mtu mzima
WANAWAKE NDIO MNAO ONGOZA KWA MAAMBUKIZI HAYO, MAANA MLIO WENGI HUWA AMUULIZI, MTU AKINDA PEKU, SAWA AKIVAA SAWA! NA WENGI WENU HUO UKIMWI MNAUPATIA KWENYE KUUSISHA NGONO NA BIASHARA, YAANI NI KITEGA UCHUMI!
 
Wanajisahaulishaga sana hawa viumbe,.mm nilikuwa natembea nazo kwa bag tukikutana namuuliza vipi unazo?? Akianza sababu zake namwambia uckonde mtoto wa kiume hizi hapa kibwenaaa ushindwe ww hahaahaha wengine wananuna etiii
 
Mwanamke pekee anaekulazimisha kuvaa condom ni malaya wanaojiuza. Hawa dada zangu wa mtaani uvae usivae shauri lako. Me huwa naangalia na demu wengine navaa wengine sivai maana mi ndo mpangaji
 
Back
Top Bottom