Spirit
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 457
- 383
Mkuu virusi wanaishi pia ktk makinikia tuseme ktk fluids aina zote zilizopo ktk mwili wa binadamuMbona ninavyofahamu mimi ni kwamba ili mtu upate maambukizi ni lazima mchubuko utokee kwa washiriki wote (yaani kuwe na blood contact) kwani virusi havikai kwenye makinikia bali kwenye damu.