Wanaume ndio wasambazaji wa HIV

Wanaume ndio wasambazaji wa HIV

vipimo vingine vinadanya...sana.
===
Baki njia Kuu.
Subiri umpate uliyepangiwa na Mungi wako Kuishi naye.
Kwa hayo mawili utaukwepa Ukimwi.
UKIMWI haukwepeki kwa njia hii mkuu dawa ni kupima tuu na mwenzi hii inapunguza chances kwa asilimia kadhaa sio zote maana mkiwa ndani ya uhusiano pia unaweza ukaletewa UKIMWI huwezi kuendesha kampeni za kuzuia ukimwi kwa kuwaambia watu waache ngono wakati unajua kabisa kuwa ni mambo ambayo haiwezekani
 
Simpimane tuu mbona vipimo vipo tele yanini kupata BP,ukifika mwabie rule no1 ni kupima uko tayari? unakwenda na vitendea kazi unatoka pale kwa amani kabisa mie hata hiyo kinga siiyamini nataka nikupime mwenyewe macho yangu yawe shahidi,baadae ndio kinga inafata,kinga ni final stage..
Ni vizuri mfike kituo cha afya kwa ushauri zaidi maana hivyo vipimo vya trial and error haviko accurate kivile maana unaweza ukapima ukaona huna kumbe unao au unao kumbe huna kwahiyo ni vizuri kuwaona wataalam
 
Ni vizuri mfike kituo cha afya kwa ushauri zaidi maana hivyo vipimo vya trial and error haviko accurate kivile maana unaweza ukapima ukaona huna kumbe unao au unao kumbe huna kwahiyo ni vizuri kuwaona wataalam
Tatizo pia walio wengi si waaminifu. Mwaweza kwenda kituo cha afya leo mkapima mkawa mko salama, kesho mmojawapo akachepuka. Inakuwa ni kazi bure. Uaminifu kwa mpenzi mmoja ni jambo la msingi.
 
Unachotaka kutuambia ni kwamba WANAWAKE TZ HAWANA HIV

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Tatizo pia walio wengi si waaminifu. Mwaweza kwenda kituo cha afya leo mkapima mkawa mko salama, kesho mmojawapo akachepuka. Inakuwa ni kazi bure. Uaminifu kwa mpenzi mmoja ni jambo la msingi.
Hakuna njia ya kuzuia directly ila tunajaribu kupunguza chances
 
Wanaume wanapenda ngono, wanaume hawapendi kutumia kinga,
pia hawapendi kucheki afya zao kabla ya tendo. Nawashauri wanawake tuwe makini sana kama mtu hataki mkapimane achana nae maisha yenyewe yashakuwa ya stress kwanini kujitafutia matatizo mengine?

Inatokea shetani amekuingilia unamkubalia mtu mkienda hoteli unashangaa anataka kukuingilia hana hata kinga ukimuuliza vipi anasema bwana sisi wazima usipokuwa mkali ndo imetoka hivo yaani.

Kwa wale ambao tushasalimika basi tujirekebishe kama huwezi kuacha ngono kabisa kama kina sisi basi chukua hatua cha kucheza salama.

Siku njema wadau sitaki ugomvi tena mimi mtu mzima.
We we umeacha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kabisa. Wanawake tujichunge wenyewe wanaume wanaongoza kuugawa tena kwa hiari Yaani anajiju ananao utasikia Sitaji nife peke yangu,kwani ulilazimishwa kuutafuta.
 
IMG_7357.JPG
nani kasema.ni bora tuambizane ukweli mkuu
Kweli bibie na ukweli wameshaupata.....
 
Hii issue ya maambukizi ya UKIMWI ni ngumu kidogo. Kwanza ningeshauri tu kuwa si wanaume pekee wanaoendekeza ngono bali ni wote Me na Ke kwa mantiki kwamba ili tendo hilo lifanyike lazima kuwe na makubaliano, kusipokuweko na na maridhiano basi hiyo inakuwa kesi ya ubakaji.
Takwimu zetu za 2015 zipo hivi:
  • Number of people living with HIV
  • 1 400 000 [1 200 000 - 1 600 000]
  • Adults aged 15 to 49 prevalence rate
  • 4.7% [4.2% - 5.3%]
  • Adults aged 15 and over living with HIV
  • 1 300 000 [1 200 000 - 1 500 000]
  • Women aged 15 and over living with HIV
  • 780 000 [700 000 - 870 000]
  • Children aged 0 to 14 living with HIV
  • 91 000 [77 000 - 110 000]
  • Deaths due to AIDS
  • 36 000 [29 000 - 42 000]
  • Orphans due to AIDS aged 0 to 17
  • 790 000 [700 000 - 880 000
  • Kinamama walioathirika ni 780,000 ikimaanisha wanaume waathirika ni 520,000 kwa hesabu hizi hapo ni nani anayemwambukiza mwenzake? Kama una kundi kubwa la wanawake wenye maambukizi, basi wanaume ndio walio katika hatari kubwa ya kuambukizwa.
 
Hii issue ya maambukizi ya UKIMWI ni ngumu kidogo. Kwanza ningeshauri tu kuwa si wanaume pekee wanaoendekeza ngono bali ni wote Me na Ke kwa mantiki kwamba ili tendo hilo lifanyike lazima kuwe na makubaliano, kusipokuweko na na maridhiano basi hiyo inakuwa kesi ya ubakaji.
Takwimu zetu za 2015 zipo hivi:
  • Number of people living with HIV
  • 1 400 000 [1 200 000 - 1 600 000]
  • Adults aged 15 to 49 prevalence rate
  • 4.7% [4.2% - 5.3%]
  • Adults aged 15 and over living with HIV
  • 1 300 000 [1 200 000 - 1 500 000]
  • Women aged 15 and over living with HIV
  • 780 000 [700 000 - 870 000]
  • Children aged 0 to 14 living with HIV
  • 91 000 [77 000 - 110 000]
  • Deaths due to AIDS
  • 36 000 [29 000 - 42 000]
  • Orphans due to AIDS aged 0 to 17
  • 790 000 [700 000 - 880 000
  • Kinamama walioathirika ni 780,000 ikimaanisha wanaume waathirika ni 520,000 kwa hesabu hizi hapo ni nani anayemwambukiza mwenzake? Kama una kundi kubwa la wanawake wenye maambukizi, basi wanaume ndio walio katika hatari kubwa ya kuambukizwa.
wanawake ni wengi kwa sababu mwanaume mmoja anambuukiza hata kumi
 
Acheni kujiuza na kupenda kuhongwa, maana hayo yanawafanya msiwe na maamuzi ktk kugegedana kuhofia kukosa pesa.
 
Back
Top Bottom