Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,734
Swahiba yule jamaa uliempata hapa JF juzijuzi huwa anapenda kutumia kinga kweli?








Kuhongwa hakujawahi kumuacha Mtu salama,Mkihongwa mnasahau hata kuna kupima
Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe si ulipigwa marufuku JF wewe???!Maumbile ya mwanamke ukimwagiwa makinikia yenye maambukizi una nafasi kubwa ya kuupata



Uende ukatulie umtunze mumeo vzr na uwe mvumilivuThanks boo![]()

Mbona ninavyofahamu mimi ni kwamba ili mtu upate maambukizi ni lazima mchubuko utokee kwa washiriki wote (yaani kuwe na blood contact) kwani virusi havikai kwenye makinikia bali kwenye damu.Maumbile ya mwanamke ukimwagiwa makinikia yenye maambukizi una nafasi kubwa ya kuupata
Mkuu kwa mtu + makinikia ni body fluids zitakuwa na virusi tena katika % ya juu kuliko mateMbona ninavyofahamu mimi ni kwamba ili mtu upate maambukizi ni lazima mchubuko utokee kwa washiriki wote (yaani kuwe na blood contact) kwani virusi havikai kwenye makinikia bali kwenye damu.
Nitafanya hivyo kwa msaada wa MUNGUUende ukatulie umtunze mumeo vzr na uwe mvumilivu

Mkuu, umenichekesha sana hivi akikiacha kibamia kazi itafanyikaje? Pia ujue mwanamme kurusha wavu ni jadi, hakuna maandalizi na kibamia kinabebwa 24/7 bila kushusha, akikutokea ujue anacho.hata kondom wabebe basi anakuja na kibamia chake na makinikia yake kama anakujua vile
not bad idear!!!!.🙄Ni vizuri mfike kituo cha afya kwa ushauri zaidi maana hivyo vipimo vya trial and error haviko accurate kivile maana unaweza ukapima ukaona huna kumbe unao au unao kumbe huna kwahiyo ni vizuri kuwaona wataalam
14Vipi Hako kautafiti umekafanya kwa wangapi?🙂🙂
Ohioan vi Marion vinavyopenda kulelewa kama una ki life hawa hali hata kama wako + watakuja tu katika maisha yako