Wanaume huwa mnaongea na binti zenu?

Wanaume huwa mnaongea na binti zenu?

Huyo ni Puff Dady, so usiogopeshwe.
 
Sawa ukute dady ni mume wake fake tu ambaye ana mke na family na hamfanyii hayo mkewe wala watoto wake. Mi baba tulikuwa tunamuita mnyama daaah yote sbb ya ukatili alokuwa nao alikuwaga anampga mpk dada yake wa damu ambaye ni shangaz yetu ambaye alikuwa na miaka almost kama 40+ enz hzo lakn ilikuwa kiktokea kpgo na nyumba nzma tena na mkanda wa taa kama mnaujua mkanda fulan hv ukpgwa unazunguka mwili mzma na unakuchana ngozi ndan alikuwa ana miliki visu vya hatari sn maza akawa anatwambia iweni makini baba yenu sku atatuua wote humu ndani maana huku room kuna visu vya kila aina, ukweli nina miaka kama 7 hivi sjawai kanyaga home na wala sina mpango ni story ndefu.
Aisee
 
Kuna Bond najaribu kuitengeneza baina yangu na wanangu.

Bond hii naamini watairithisha vizazi na vizazi na itakuwa kumbukumbu njema kwangu...
 
Eti ? Huwa mnaongea nao ? Mnacheka ? Mnashauriana ?

Siku moja nipo saloon

Alifiki binti m,moja

Baada ya kuketi

Alipigiwa cm na baba yake na maongezi yao yalikua hivi

HER > GOOD MORNING DADY

HIM > MORNING DOTAA

HIM > NIMEFIKA SALAMA,MWANZA MWANANGU....NA SIM YAKO INA SALIO ?

HER > SIM YANGU HAINA SALIO LAKINI PIA NIKO SALOON NAHITAJI KUOSHA NYWELE

HIM > NAKUWEKE PESA YA SALIO NA YA SALOON 200,000 ITATOSHA ??

HER > YES DADY ITATOSHA

THEN WAKAAGANA


Nikaongea moyoni kumbe kuna wa baba wana upendo hivi kwa ma binti zao

Wanazungumza kirafiki kwa upendo

Huku nikajisemea wakati mimi nikisikia sauti ya baba yangu NATETEMEKAAAAA baba yetu tulikua tuna muita Ghadafi

Wanaume wapendeni watoto wenu wa kike

Wapeni kipaumbele

Na wao hawotasahau upendo wenu kamwe,
Imebidi nicheke kwanza, siku hizi kuna majina kama mamii, daddies, baba yakimaanisha mabuzi.
 
Sawa ukute dady ni mume wake fake tu ambaye ana mke na family na hamfanyii hayo mkewe wala watoto wake. Mi baba tulikuwa tunamuita mnyama daaah yote sbb ya ukatili alokuwa nao alikuwaga anampga mpk dada yake wa damu ambaye ni shangaz yetu ambaye alikuwa na miaka almost kama 40+ enz hzo lakn ilikuwa kiktokea kpgo na nyumba nzma tena na mkanda wa taa kama mnaujua mkanda fulan hv ukpgwa unazunguka mwili mzma na unakuchana ngozi ndan alikuwa ana miliki visu vya hatari sn maza akawa anatwambia iweni makini baba yenu sku atatuua wote humu ndani maana huku room kuna visu vya kila aina, ukweli nina miaka kama 7 hivi sjawai kanyaga home na wala sina mpango ni story ndefu.
Daah 😭
 
In a positive way; Wanaume tuna chakujifunza. Tusichukulie kila kitu negative
Na je kama ni baba yake halisi?
Kwani tunakataa basi, ila tunaongelea trend ya maisha ya vijana wetu sasa hivi.

Ni kweli wapo wazazi/wababa very caring kwa mabinti zao, ila tusisahau pia wengi wanaoitwa daddies ni zao la uhuni na umalaya.
 
Back
Top Bottom