Wanaume huwa mnaongea na binti zenu?

Wanaume huwa mnaongea na binti zenu?

Poleni sana aisee,ukichimba kiundani unaweza kuta Baba yenu naye alipitia mambo kama hayo utotoni
mmmh may be bt kwa jns nlivyokuwaga napata story ni kama hakuwahi pitia hayo ya vpgo hivyo ila inaonekana mama yao alikuwa mbogo sn alikuwa anapga mpk wanaume haya alikuwa anatusmulia yeye mwnyw mama yao.
 
Na wewe unaitwaga daddy?
Kwani tunakataa basi, ila tunaongelea trend ya maisha ya vijana wetu sasa hivi.

Ni kweli wapo wazazi/wababa very caring kwa mabinti zao, ila tusisahau pia wengi wanaoitwa daddies ni zao la uhuni na umalaya.
 
Sasa kama nyumbani yupo huyo mkubwa mwenzako wa kazi Gani tena jamani 🥱?
Huwezi kuelewa bushmamy, huwezi kuelewa kabisa...sema kwa vile hata wewe ni mkubwa mwenzangu, nadhani unaelewa 😅
 
Huwezi kuelewa bushmamy, huwezi kuelewa kabisa...sema kwa vile hata wewe ni mkubwa mwenzangu, nadhani unaelewa 😅
Nieleweshe si unajua sie tunaoishi huku bush maporini hatujui watu wa mjini mnaishije huko Jamani, nieleweshe hata inbox.

Ntatafuta nauli uje unitembeze huko mjini nipaone na Mimi jamani
 
Sawa ukute dady ni mume wake fake tu ambaye ana mke na family na hamfanyii hayo mkewe wala watoto wake. Mi baba tulikuwa tunamuita mnyama daaah yote sbb ya ukatili alokuwa nao alikuwaga anampga mpk dada yake wa damu ambaye ni shangaz yetu ambaye alikuwa na miaka almost kama 40+ enz hzo lakn ilikuwa kiktokea kpgo na nyumba nzma tena na mkanda wa taa kama mnaujua mkanda fulan hv ukpgwa unazunguka mwili mzma na unakuchana ngozi ndan alikuwa ana miliki visu vya hatari sn maza akawa anatwambia iweni makini baba yenu sku atatuua wote humu ndani maana huku room kuna visu vya kila aina, ukweli nina miaka kama 7 hivi sjawai kanyaga home na wala sina mpango ni story ndefu.
huyo alikuwa kama sio mwizi basi jambazi..am sorry kama utakwazika ndo watu wa dizaini kama hyo..baba anayejitambua hawezi kuwa katili kiasi hcho.
 
Nieleweshe si unajua sie tunaoishi huku bush maporini hatujui watu wa mjini mnaishije huko Jamani, nieleweshe hata inbox.

Ntatafuta nauli uje unitembeze huko mjini nipaone na Mimi jamani
Hata mie wa maporoni tu bushmamy, sina jipya.

Huko inbox hutanifukuza kweli wewe?
 
Back
Top Bottom