Wanaume huwa mnaongea na binti zenu?

Wanaume huwa mnaongea na binti zenu?

Mwanamke wa mithali 31

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2024
Posts
1,339
Reaction score
3,094
Eti ? Huwa mnaongea nao ? Mnacheka ? Mnashauriana ?

Siku moja nipo saloon

Alifiki binti m,moja

Baada ya kuketi

Alipigiwa cm na baba yake na maongezi yao yalikua hivi

HER > GOOD MORNING DADY

HIM > MORNING DOTAA

HIM > NIMEFIKA SALAMA,MWANZA MWANANGU....NA SIM YAKO INA SALIO ?

HER > SIM YANGU HAINA SALIO LAKINI PIA NIKO SALOON NAHITAJI KUOSHA NYWELE

HIM > NAKUWEKE PESA YA SALIO NA YA SALOON 200,000 ITATOSHA ??

HER > YES DADY ITATOSHA

THEN WAKAAGANA


Nikaongea moyoni kumbe kuna wa baba wana upendo hivi kwa ma binti zao

Wanazungumza kirafiki kwa upendo

Huku nikajisemea wakati mimi nikisikia sauti ya baba yangu NATETEMEKAAAAA baba yetu tulikua tuna muita Ghadafi

Wanaume wapendeni watoto wenu wa kike

Wapeni kipaumbele

Na wao hawotasahau upendo wenu kamwe,
 
Sawa ukute dady ni mume wake fake tu ambaye ana mke na family na hamfanyii hayo mkewe wala watoto wake. Mi baba tulikuwa tunamuita mnyama daaah yote sbb ya ukatili alokuwa nao alikuwaga anampga mpk dada yake wa damu ambaye ni shangaz yetu ambaye alikuwa na miaka almost kama 40+ enz hzo lakn ilikuwa kiktokea kpgo na nyumba nzma tena na mkanda wa taa kama mnaujua mkanda fulan hv ukpgwa unazunguka mwili mzma na unakuchana ngozi ndan alikuwa ana miliki visu vya hatari sn maza akawa anatwambia iweni makini baba yenu sku atatuua wote humu ndani maana huku room kuna visu vya kila aina, ukweli nina miaka kama 7 hivi sjawai kanyaga home na wala sina mpango ni story ndefu.
 
Eti ? Huwa mnaongea nao ? Mnacheka ? Mnashauriana ?

Siku moja nipo saloon

Alifiki binti m,moja

Baada ya kuketi

Alipigiwa cm na baba yake na maongezi yao yalikua hivi

HER > GOOD MORNING DADY

HIM > MORNING DOTAA

HIM > NIMEFIKA SALAMA,MWANZA MWANANGU....NA SIM YAKO INA SALIO ?

HER > SIM YANGU HAINA SALIO LAKINI PIA NIKO SALOON NAHITAJI KUOSHA NYWELE

HIM > NAKUWEKE PESA YA SALIO NA YA SALOON 200,000 ITATOSHA ??

HER > YES DADY ITATOSHA

THEN WAKAAGANA


Nikaongea moyoni kumbe kuna wa baba wana upendo hivi kwa ma binti zao

Wanazungumza kirafiki kwa upendo

Huku nikajisemea wakati mimi nikisikia sauti ya baba yangu NATETEMEKAAAAA baba yetu tulikua tuna muita Ghadafi

Wanaume wapendeni watoto wenu wa kike

Wapeni kipaumbele

Na wao hawotasahau upendo wenu kamwe,
Jamani huyu mshamba tumwambie maana ya dady au tumuache kwanza
 
Hv vitoto vya afu mbili ndo vinatuitaga hvyo sisi mabazaZi
20251129_092318.jpg
 
Eti ? Huwa mnaongea nao ? Mnacheka ? Mnashauriana ?

Siku moja nipo saloon

Alifiki binti m,moja

Baada ya kuketi

Alipigiwa cm na baba yake na maongezi yao yalikua hivi

HER > GOOD MORNING DADY

HIM > MORNING DOTAA

HIM > NIMEFIKA SALAMA,MWANZA MWANANGU....NA SIM YAKO INA SALIO ?

HER > SIM YANGU HAINA SALIO LAKINI PIA NIKO SALOON NAHITAJI KUOSHA NYWELE

HIM > NAKUWEKE PESA YA SALIO NA YA SALOON 200,000 ITATOSHA ??

HER > YES DADY ITATOSHA

THEN WAKAAGANA


Nikaongea moyoni kumbe kuna wa baba wana upendo hivi kwa ma binti zao

Wanazungumza kirafiki kwa upendo

Huku nikajisemea wakati mimi nikisikia sauti ya baba yangu NATETEMEKAAAAA baba yetu tulikua tuna muita Ghadafi

Wanaume wapendeni watoto wenu wa kike

Wapeni kipaumbele

Na wao hawotasahau upendo wenu kamwe,
My daughters are among the happiest souls on earth.
 
Sawa ukute dady ni mume wake fake tu ambaye ana mke na family na hamfanyii hayo mkewe wala watoto wake. Mi baba tulikuwa tunamuita mnyama daaah yote sbb ya ukatili alokuwa nao alikuwaga anampga mpk dada yake wa damu ambaye ni shangaz yetu ambaye alikuwa na miaka almost kama 40+ enz hzo lakn ilikuwa kiktokea kpgo na nyumba nzma tena na mkanda wa taa kama mnaujua mkanda fulan hv ukpgwa unazunguka mwili mzma na unakuchana ngozi ndan alikuwa ana miliki visu vya hatari sn maza akawa anatwambia iweni makini baba yenu sku atatuua wote humu ndani maana huku room kuna visu vya kila aina, ukweli nina miaka kama 7 hivi sjawai kanyaga home na wala sina mpango ni story ndefu.
Poleni sana aisee,ukichimba kiundani unaweza kuta Baba yenu naye alipitia mambo kama hayo utotoni
 
Sawa ukute dady ni mume wake fake tu ambaye ana mke na family na hamfanyii hayo mkewe wala watoto wake. Mi baba tulikuwa tunamuita mnyama daaah yote sbb ya ukatili alokuwa nao alikuwaga anampga mpk dada yake wa damu ambaye ni shangaz yetu ambaye alikuwa na miaka almost kama 40+ enz hzo lakn ilikuwa kiktokea kpgo na nyumba nzma tena na mkanda wa taa kama mnaujua mkanda fulan hv ukpgwa unazunguka mwili mzma na unakuchana ngozi ndan alikuwa ana miliki visu vya hatari sn maza akawa anatwambia iweni makini baba yenu sku atatuua wote humu ndani maana huku room kuna visu vya kila aina, ukweli nina miaka kama 7 hivi sjawai kanyaga home na wala sina mpango ni story ndefu.
🤣🤣🤣
 
Yule Mzee wangu umuite daddy?? Mmh Kuna watu tumelelewa na wazaz ambao hakuna mazoea Yale ya ukaribu na mzaz mambo ya kuchekeana chekeana No na hii sijui sababu tupo wengi wazaz walikua hawana first born Wala last born tumejengewa kua na nidham Tena nidham haswa Kwa wazaz na watu wakubwa nimeyafurahia sana hayo malezi
Wanaume mnalelea watoto wenu wa kike kimadeko sana akipiga simu baba iki nataka baba kile nataka basi utahangaika mpaka uumpe wasichana wengi naona wako Ivo haswa hawakizazi puuh had aibu
 
Back
Top Bottom