voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Uko sahihi kabisa mleta mada!
Huyu mama kuna kitu mahala hakikwenda sawa....
Haiwezekani kiongozi unakurupuka bila tafakuri wala majadiliano na hata kuomba ushauri.
Kisa tu sura yako imepambwa Dubai.
Nadhani kuna uwezekano kuwa kawekewa fungu kubwa sana kwenye akaunti yake huko Dubai.
Wanawake huwa ni wanyonge sana pale linapokuja suala la pesa mbele yao!
Tufike mahali watanzania tuache uoga tutoke na kusema "No" kwa hili jambo.
Huyu mama kuna kitu mahala hakikwenda sawa....
Haiwezekani kiongozi unakurupuka bila tafakuri wala majadiliano na hata kuomba ushauri.
Kisa tu sura yako imepambwa Dubai.
Nadhani kuna uwezekano kuwa kawekewa fungu kubwa sana kwenye akaunti yake huko Dubai.
Wanawake huwa ni wanyonge sana pale linapokuja suala la pesa mbele yao!
Tufike mahali watanzania tuache uoga tutoke na kusema "No" kwa hili jambo.