Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Well said,huko mtaani kweni walioolewa ni la saba na form 4,na mleta hoja amesema wanaoolewa ni la saba na form four
hivyo wewe umethibitisha alichokisema mleta hoja.
Niseme kuwa wapo wasomi wachache wenye kuheshimu waume zao lakini majority akishasoma kuolewa ni celemonial
wengi siyo wife material.Ndo maana hata mtaani kwenu walioolewa wengi ni la
saba na form 4.
Sasa ulitaka niseme wachache wao wameolewa ilihali wao ndo wengi
walioko ukicompare na wasomi?
Usichukulie vitu juu juu tu kwa point moja uloiona wewe, rudi kasome huyo jamaa nilomjibu alikuwa kaandika nini ndi utaona nini nilichokuwa nimekilenga.