Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Haiwezekani....never
Hao wala 7 na 4 wanajengewa sana makwao
Haiwezekani....never
shosti kumbe kimwanaume kinaogopa degree..ukiwa nacho ni majanga unakuta kinaogopa mende pia...sasa utakaanacho kweli?
Ndoa ni mipango, ukipanga muoa fulani, muingie akili mwake, mbadili akili.
Mbona CIA wanaweza kuingia akili mwa watu na kuwabadili na kuwafata wao kwanini sisi tysiweze?
wewe na kadegree chako utabaki kuwa chakula cha waume za watu
matusi yako kwangu mavi tu
heee heee bora ukakitupe chooni tu ieleweke moja.....lolest
Well said,huko mtaani kweni walioolewa ni la saba na form 4,na mleta hoja amesema wanaoolewa ni la saba na form fourHuku uswazi kwetu asilimia kubwa ni hao mnaowataka na wengine hawajasoma sana zaidi ya sunday school na madrasa tu then wakawekwa ndani. Lakini kutwa kucha wao ni mama shughuli tu na waume zao ndio hushindia viporo vya jana yake......tena si ajabu kumkuta baba mzima kasubiria chips kibandani au mihogo ya kukaanga gengeni daily.
Siku akikoroma sana anaishia kwenye ugali kwa miguu ya kuku anotumwa mtoto gengeni kwa mama pesa. Baadae utasikia we Sikitu subiri baba ako amalize kula utoe vyombo mi naenda kwa mama Ziada kuna arobaini ya kumtoa mtoto!!!
#KALAGABAHO
waoaji wenyewe wapo? au longo longo tu. sasa wewe shule ilikushinda uka-disco, unataka wa degree wa nini. mambo ya kujitia ndizini na hali sio utumbo....
mimi wa darasa la saba na form 4 nn kuoa hata kuongea nae tu siwez zaid ya salam tu mana naona hata mitazamo tupo tofauti kwanza wanakuaga na uswahil mwngi sana. wengine ndio tunawapenda hao wnye degree zao. darasa la saba na form 4 wataolewa na walokataa shule wenzao na vinuka mkojo wenzao mana ndio wanaendana nao. kla mtu na chaguo lake. nani anataka kuzaa watoto vilaza! kilaza na kilaza mwenzie hata vitabu vya dini vimesema hvyo 😛uke:
wanaume wenyewe wa siku hizi wavivuuuu....unaondoka kwenda kazini unamwacha amelala, unarudi unakuta ndo anaamka anakuuliza leo tunakula nini. sasa mtu na degree yako hiyo si ni headache tu, ni heri uolewe na hiyo degree au masters walau itakuletea maendeleo kuliko hao ma-looser!
mie mchepuko wa kudumu milele na milele we olewa tu, usinigeze mimi
Sasa kumbe unajijua wew ni bodaboda kwa akil yako unaweza oa hata wa certificate na u bodaboda wako??? Mbili umewah shuhudia harus ya mwanamke mwenye musterz na dereva bodaboda??? Tatu wanawake wasio soma skiz ndio mabingwa wakuiba waume za watu coz hawana garama na pia ni mabingwa wakugawa 0713....la mwisho niwe na degree nije olewa na wa la saba ni vitu viwil tofaut unless nikuchune tu ad ubakie na boxer yako
[/COLOR]Hapo penye red niulize swali unampomchuna mtu,unampa wapi na unapokuwa umeolewa unampa mme wako wapi?
mbona mnazidi kuthibitisha kuwa mnapenda kuwa michepuko? binafsi nilidhani kama unamdharau mtu kwa elimu yake basi ni kimoja awe na hela asiwe nayo,siyo unamtumia gizani kisha unamwambia kesho tusijuane wakati ameishakuvua nguo,hapo una tofauti gani na wadada poa?
Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...
Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....
Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....
Ukiwa na mawazo mgando kama hayo kama mimi ni mumeo nakubakisha nyumbani tu hakuna kufanya kazi, nyie ndo hadi madaftari au peni za mtoto shule unamwambia mwambie baba yako.
Sasa mlikua mnataka haki sawa ipi? Na ukae ukijua m/ume ni m/ume tu hakuna cha haki sawa ndio maana m/ume anaweza kukojoa huku kasimama na kachuchumaa jaribu ww kukojoa huku umesimama kama hujajikojolea.
Halafu na heshima hana, pumbavuuu sana!Bora uwoe std seven au form ujue matumizi ya nyumbani ni juu yako kuliko kuoa degree ukitegemea mtasaidiana maisha mwishoni hata mshahara huujui sh.ngapi na hata hachangii chochote