Nyie wote mlio upande wa mtoa mada elim zenu ni darasa la 7 na fm 4 sasa mtawawezaje wanawake wa gegree ?jueni kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yke sasa nyie vipato vyenu vyenyewe vidogo kisha eti uoe aliyekuzid elim na kipato halafu pia ujitie kidume cha mbegu kwa maana kila utakachosema jibu liwe ni ndio......waapiiiii pelekeni upuuz wenu mbele
Humu JF wanajipa ujinga tu.
Afu wengi wao ndo wanafanya mambo ya ajabu ajabuuuu. Mwisho wa siku ndoa yaota mabawa
Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...
Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....
Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....
we mwenyewe si unaona wanavyoreply,si mke tu hata kwa michepuko hawafai
Bahati mbaya sikukuolea digirii bali papuchi. Hivi ukipata kadigirii papuchi inabadili ladha? Kumbe ndo maana madogo siku hizi hawana masihara na mbuzi mee......
Ukiwa na mawazo mgando kama hayo kama mimi ni mumeo nakubakisha nyumbani tu hakuna kufanya kazi, nyie ndo hadi madaftari au peni za mtoto shule unamwambia mwambie baba yako.
Sasa mlikua mnataka haki sawa ipi? Na ukae ukijua m/ume ni m/ume tu hakuna cha haki sawa ndio maana m/ume anaweza kukojoa huku kasimama na kachuchumaa jaribu ww kukojoa huku umesimama kama hujajikojolea.
Nikweli ndomana twaenda huko hatutaki stress
Umeongea point mkuu, mume ni kichwa hatukatai lakini kama umeoa mtu mwenye kipato basi msaidiane ili kufanya maisha yawe rahisi kidogo.Bora uwoe std seven au form ujue matumizi ya nyumbani ni juu yako kuliko kuoa degree ukitegemea mtasaidiana maisha mwishoni hata mshahara huujui sh.ngapi na hata hachangii chochote
Bora uwoe std seven au form ujue matumizi ya nyumbani ni juu yako kuliko kuoa degree ukitegemea mtasaidiana maisha mwishoni hata mshahara huujui sh.ngapi na hata hachangii chochote
mkuu kwa michepuko wanafaa sio uwafungie ndani unajua mpo wawili mnakwenda kazini kumbe hela yake anajenga kwao shenzyyy nikioa mke wangu hafanyi kazi hata kama ni professor
We nae naona ubongo wako una kinyesi dada poa ww unaegawa nyuma ili uwe na maisha mazurii
Gegree ndio nini?