Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Mmmh,mbona ht hao la 7 wapo wengi tu wanasota majumbani na wengine wanazeekea makwao.
 
una mawazo mgando wewe.....bas mwanao wa kike usimpeleke shule ili aolewe.....
thanks bby,kama mi ni mawazo mgando lazima uwe maziwa fresh,mwaaaaah
 
acheni uwoga wa bure mwanamke ata awe na elimu gani hapa duniani mwesho wa siku all she will do is spread legs simple wala usiogope . na ukishindwa dominate a woman u aint a man enough

Ha ha ha! Spreading legs is normal practice to moms irrespective of the status!
 
Mmmh,mbona ht hao la 7 wapo wengi tu wanasota majumbani na wengine wanazeekea makwao.

we unaongelea mafuta miaka 27 bado upo nyumbani sio kwa mume ni janga ha ha ha ha ha
 
haaa haaa we mie sijasema hivo..usinilishe maneno bana
mtoto mtamu ila sipendi staili za kugombania daladala,sipendi unigombanishe na MO11
 
Last edited by a moderator:
pole nyumbani sio kuzuri baada ya 27's ha ha ha ha ha

ona sasa unavyochanganya madesa!! Mie na madegree yangu ntakaa nyumbani nafanya nini? Sie tujisomee miwivu iwajae na bado tutawaajiri sana mtufugie ngombe...empty headed
 
ona sasa unavyochanganya madesa!! Mie na madegree yangu ntakaa nyumbani nafanya nini? Sie tujisomee miwivu iwajae na bado tutawaajiri sana mtufugie ngombe...empty headed
mmm kakupuliza ukiwa na degree?
 
Back
Top Bottom