Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

DEMBA mimi ni muamuzi so nikiamua hata kesho navuta jiko ndani,shida nikwako msubiri maamuzi na degree yako.

ha ha ha ha ha ha ha ha
mwambie achukue ndoo akadeki bahari
 
Last edited by a moderator:
watu kama chancelor wa german ni mwanamke, rais wa brazil pia, watu kama hillary clinton na high profiles wengne unakuta wanaheshimu ndoa zao pamoja na elimu na vyeo vyao. Sasa bachelor au masters (unakuta mtu ndo hata ajira hajapata) ndo ikufanye udharau ndoa?
 
watu kama chancelor wa german ni mwanamke, rais wa brazil pia, watu kama hillary clinton na high profiles wengne unakuta wanaheshimu ndoa zao pamoja na elimu na vyeo vyao. Sasa bachelor au masters ndo ikufanye udharau ndoa?

watz ni malimbukeni wa kila kitu
 
haa haa kwani we una mbo.oo...haa haa haa kwi kwi kwi basi tumboo hebu ukuje pande hii kwanza..

Hahaaa mpotezee uyo na lanne lake la zaman aendelee kujidanganya ivoivo ndoa za skiz nyingi wenye elimu anajidanganya na uskute mke wake kaishia la pili la zaman
 
Last edited by a moderator:
wewe ya nyuma yenyewe unaisikia bombani...kwi kwi kwiiiiii
elimu huna
maisha yamekupausha unaishia kugombana na watu wenye elimu zao....utakufa masikini na wanawake wazuri wenyewe utaishia kuwaita shemeji tuu

Hahaaaaaa uwii umenichekeshaje
Eti maisha yamekupaushaa nimevuta pozi na avatar yake
 
ha ha ha ha ha ha ha
wazee wa Zamani wasema
mwanamke hata awe na mali kiasi gani asipokuwa na mume kazi bure

hivi unajua sijawahi kukuomba hata shiling mia ?

proved
mwanamke asiyeolewa ana kisirani
ha ha ha ha ha ha
hatupo kutangaza mali kashindane na le mutuz
hee wajifarijiii..rudi shule wewe japo upate hata ka chetii..utujiabisha mjini hadi lini? zinduka na kataaa kudhalilisha uanaume wako
 
Hahaaa mpotezee uyo na lanne lake la zaman aendelee kujidanganya ivoivo ndoa za skiz nyingi wenye elimu anajidanganya na uskute mke wake kaishia la pili la zaman

vip nimekuoa wewe ?
 
mnachekesha,mmeo anamkatia mwanamke mwingine,mpaka anamwaga huku we unashuhudia,na ANAKUAMBIA BELIEVE ME NAKUPENDA NA UNAFURAHI'''
 
hee wajifarijiii..rudi shule wewe japo upate hata ka chetii..utujiabisha mjini hadi lini? zinduka na kataaa kudhalilisha uanaume wako

shule ya nini wewe?
sina dhiki wewe unashida ya mume nimekwambia kuwa mchepuko wangu achana na mambo ya tambo nyuma ya keyboard
kama hujaolewa ni vema ukatuliza kichwa sio kishankupe

wanawake wazuri nitawaita mashemeji sawa ila sio kama wewe watu kama nyie tunawaita wewe ----- kuja hapa na unakuja ndio si unataka kuolewa dereva wa bodaboda hapa
 
sawa ndio inayotuweka mjini hapa

Sasa kumbe unajijua wew ni bodaboda kwa akil yako unaweza oa hata wa certificate na u bodaboda wako??? Mbili umewah shuhudia harus ya mwanamke mwenye musterz na dereva bodaboda??? Tatu wanawake wasio soma skiz ndio mabingwa wakuiba waume za watu coz hawana garama na pia ni mabingwa wakugawa 0713....la mwisho niwe na degree nije olewa na wa la saba ni vitu viwil tofaut unless nikuchune tu ad ubakie na boxer yako
 
Sasa kumbe unajijua wew ni bodaboda kwa akil yako unaweza oa hata wa certificate na u bodaboda wako??? Mbili umewah shuhudia harus ya mwanamke mwenye musterz na dereva bodaboda??? Tatu wanawake wasio soma skiz ndio mabingwa wakuiba waume za watu coz hawana garama na pia ni mabingwa wakugawa 0713....la mwisho niwe na degree nije olewa na wa la saba ni vitu viwil tofaut unless nikuchune tu ad ubakie na boxer yako
Una madharau balaa we jike
 
Sasa kumbe unajijua wew ni bodaboda kwa akil yako unaweza oa hata wa certificate na u bodaboda wako??? Mbili umewah shuhudia harus ya mwanamke mwenye musterz na dereva bodaboda??? Tatu wanawake wasio soma skiz ndio mabingwa wakuiba waume za watu coz hawana garama na pia ni mabingwa wakugawa 0713....la mwisho niwe na degree nije olewa na wa la saba ni vitu viwil tofaut unless nikuchune tu ad ubakie na boxer yako

hizo stress zako za kutokuolewa usiniletee mimi
unanihesabia upuuzi hapa kwani wangapi wanaolewa na wanaume wa ajabu tunawaona na elimu zao
mkishafika 30's vichwa vinauma hapa unajifariji tu.
 
Wataishia kuwa single families na watoto wanaodhalishwa hawana maadiri sababu ya kukosa malezi ya pande mbili. Mbaaafu kabisa
 
wanawake waliosoma,antena ikisimama wanataka wasuguliwe na waziri wa nishati
 
Back
Top Bottom