BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,744
- 3,544
Utasubiri sana
mie degree ndo habari ya mujini ukitaka mume labda nikutafutie wewe
mie degree ndo habari ya mujini ukitaka mume labda nikutafutie wewe
Umeshinda ww,but Jifunze kauli nzuri dada umri unakutupa mkono ohoo we haya tu
mie degree ndo habari ya mujini ukitaka mume labda nikutafutie wewe
kuna story hapa jamvini wanawake wasioolewa wana stress sana ndio maana anaharisha hapa umri umeenda kila siku kuhudhuria harusi za wenzie yeye haolewi pesa hazileti watoto wala mume ha ha ha ha ha ha
mwisho wa siku unaolewa tu,ndo kujivunia kwakoSomeni wadada.im sure hata nyie hamjaona mme..kwa lipi hasa?kwenye maisha ni muhimu kuhakikisha hukosi vyote.soma mpaka uwezapo,kama Mungu amukuandikia ndoa tena yenye amani upendo na furaha utaipata tu.
Someni wadada.im sure hata nyie hamjaona mme..kwa lipi hasa?kwenye maisha ni muhimu kuhakikisha hukosi vyote.soma mpaka uwezapo,kama Mungu amukuandikia ndoa tena yenye amani upendo na furaha utaipata tu.
hee hee hee hee nawe uanze kua act kiume japo kidogo mweee!! sasa hata kama unaliwa ndo unataka kila mtu ajuwe? wenzio wanafanya kisiriUmeshinda ww,but Jifunze kauli nzuri dada umri unakutupa mkono ohoo we haya tu
mwanamke mwenye degree au zaidi si mke
Mumeo mtarajiwa bado yupo nusery Utasubiri sana
hee hee hee hee nawe uanze kua act kiume japo kidogo mweee!! sasa hata kama unaliwa ndo unataka kila mtu ajuwe? wenzio wanafanya kisiri
kuna story hapa jamvini wanawake wasioolewa wana stress sana ndio maana anaharisha hapa umri umeenda kila siku kuhudhuria harusi za wenzie yeye haolewi pesa hazileti watoto wala mume ha ha ha ha ha ha
tatizo mnatoa ndogo ili muolewe mi sioi anayetoa ndogo