ndio maana wanawake wanaambiwa wana degree za chupi.
shenzyyy kutukana wanaume tu ndio maana ni michepuko ya kudumu
Kumbe mkio wenye degree mnapiga mahesabu ya kuwafanya chuma ulete.....heheheee yani siku mume wangu akiuona mshahara wangu ajue nimempa sadaka...
Me baba yangu ajipinde kunisomesha halafu we uje udai mshahara kama mlisaidiana vilee...ukiuliza umenioa....
Then tukidai usawa mnakuwa wakali...mwanaume ukitaka kuwa kichwa cha familia basi uwe kichwa katika kila kitu hadi matumizi ya nyumbani....!
Tena hadi nauli ya kwenda kazini umpe mkeo na mshahara usihoji....
Jambo mie mke wa kibo10 acha ntafutia matatizo na mme wangu we mtoto halalii
Afu wewe....Mamy tumekumisije kwenye kijiwe chetu....
Na dhumuni la mchepuko ni kuondoa stress njia kuu.....sasa mchepuko una degree na yeye degree zamsumbua sasa sijui anafwata nini uko.....kha
kwi kwi kwi kwiiiiiiiiii te teh teh eti na huyu mwanaume heeeee heeeeeeeeeeeeee....bogus reply
degree yako ya chupi huko.....!!
hakuna msaada hapa
shenzyyy
kuvurugwa kubayaaaa....siku ya mtu ishaharibika hapa
mmmmhh
kwi kwi kwi kwiiiiiiiiii te teh teh eti na huyu mwanaume heeeee heeeeeeeeeeeeee....
Afu wewe....
Ndo ukome na kiherehere chako cha kusoma kwa bidii.
sasa we mwenyewe umeishia la pili A!wa degree utamuweza wapi???? hebu muwe mnachukua mnaofanana nao msituletee shombo hapa
ana degree mboo kaka
Hahaha sasa ningekoma tungejuana odm.....elimu imenifanya nikujue.....sasa hapa nataka nikafanye masters mana kadegree hakanitoshi......
Kama ndivyo, inabidi amwache mtoto apate mfano mzuri kwa mama yake!
Unamume au bi harusi mtarajiwa miaka nennda rud?et nimuoe dem mwenye maneno mbovu kaa huyu!ptuu
Unamume au bi harusi mtarajiwa miaka nennda rud?et nimuoe dem mwenye maneno mbovu kaa huyu!ptuu
sasa ni nani atakaye taka kuolewa na kivulana empty headed ka wewe....unatitia kinyaaaa...mchweeee!!!!