Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Nyie wote mlio upande wa mtoa mada elim zenu ni darasa la 7 na fm 4 sasa mtawawezaje wanawake wa gegree ?jueni kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yke sasa nyie vipato vyenu vyenyewe vidogo kisha eti uoe aliyekuzid elim na kipato halafu pia ujitie kidume cha mbegu kwa maana kila utakachosema jibu liwe ni ndio......waapiiiii pelekeni upuuz wenu mbele
Gegree ndio nini?