Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

kelele kibao za nn??Wanawake wa digrii wwngi
wao n janga la kitaifa nasisiriza sio WOTE lakini
kwakiwango kikubwa ukitaka aman ktk nyumba
u have to marry a standard 7/form 4,wanaume
wanahitaji Aman zaidi haina maana wanawake
hawahitaji la hasha!!bali wengi wenye digrii
hawafai kuoa mara kaliwa na bosi mara
mchepuko mara tamaa za hovyo khaaa!!mambo
ya sapu,carry yananihusu nn mimi ndani wa
ndoa??Utter nonsence!!
 
kelele kibao za nn??Wanawake wa digrii wwngi wao n janga la kitaifa nasisiriza sio WOTE lakini kwakiwango kikubwa ukitaka aman ktk nyumba u have to marry a standard 7/form 4,wanaume wanahitaji Aman zaidi haina maana wanawake hawahitaji la hasha!!bali wengi wenye digrii hawafai kuoa mara kaliwa na bosi mara mchepuko mara tamaa za hovyo khaaa!!mambo ya sapu,carry yananihusu nn mimi ndani wa ndoa??Utter nonsence!!

Hmm mi shemeji yangu kaoa std 7 ni ana kelele na matusi anamfuata mpk ofisini kumfanyia vurugu. Yaani baba wa watu kahama kwake anaregret na watoto wote wamechukua akili za mama! Mke mwema hutoka kwa Mungu.
 
Ukioa hao uliowataja ujue umeoa hot-pot na chupa ya chai.maana kila siku utakuta hot pot na ujumbe juu
''baby nimewahi kwenye washa''
mara chai kwenye thermos.Habari ya kuandaliwa msosi na mke unasahau.
Ukiwa na mke wa aina hii jifunze kupiga busu hot pot.

Huku uswazi kwetu asilimia kubwa ni hao mnaowataka na wengine hawajasoma sana zaidi ya sunday school na madrasa tu then wakawekwa ndani. Lakini kutwa kucha wao ni mama shughuli tu na waume zao ndio hushindia viporo vya jana yake......tena si ajabu kumkuta baba mzima kasubiria chips kibandani au mihogo ya kukaanga gengeni daily.

Siku akikoroma sana anaishia kwenye ugali kwa miguu ya kuku anotumwa mtoto gengeni kwa mama pesa. Baadae utasikia we Sikitu subiri baba ako amalize kula utoe vyombo mi naenda kwa mama Ziada kuna arobaini ya kumtoa mtoto!!!
#KALAGABAHO
 
Maneno mengi ila ukweli ndio huo mwanamke aliye soma ni shidaaaaaah

Nyie wote mlio upande wa mtoa mada elim zenu ni darasa la 7 na fm 4 sasa mtawawezaje wanawake wa gegree ?jueni kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yke sasa nyie vipato vyenu vyenyewe vidogo kisha eti uoe aliyekuzid elim na kipato halafu pia ujitie kidume cha mbegu kwa maana kila utakachosema jibu liwe ni ndio......waapiiiii pelekeni upuuz wenu mbele
 
VIOL: wenzio wanaokuja hapa na kuweka sifa za mtu anayetaka kumuoa na elimu ikizingatiwa huwa huon? hebu wa PM waulize kwa nini kigezo cha elimu anakizingatia, tabia ya mtu ni tabia yake tu, kuna wanawake wasomi wanajishusha kwa wenza wao ha raha, kama ulimtafuta msomi kabumbuluka kwasababu umegeuka tegemezi kwake unategemea atakuheshimu kweli..? maisha ni kusaidiana.

Mwanamke nisaidiz tu kwako tena pale utakapokwama na sio lazma akusaidie, maandiko yanasema ADAMU UTAKULA KWA JASHO na HAWA (EVA) UTAZAA LWA UCHUNGU, kazi yake ni kuzaa nawewe ni kuhakikisha amepata mahitaji yote

kusoma kwa mwanamke ni kulingana na maisha ya sasa kwamba ikitokea mwenzangu akatangulia itakuwaje ndo maana wanawake sasa wanapenda kujishughulisha, sasa wanaume umegeuka mchezo kwamba akuzalie na akulishe..! tobaaaaaaa

Hao ndio wanaoitwa kina marioooo wanataka wao ndo wakae tuu ndani walishwe na kufanyiwa kila kitu sasa hiyo ishu wanawake wasomi na wenye vipato wameshagundua na ndo maana vibuti kila kukicha
 
mimi wa darasa la saba na form 4 nn kuoa hata kuongea nae tu siwez zaid ya salam tu mana naona hata mitazamo tupo tofauti kwanza wanakuaga na uswahil mwngi sana. wengine ndio tunawapenda hao wnye degree zao. darasa la saba na form 4 wataolewa na walokataa shule wenzao na vinuka mkojo wenzao mana ndio wanaendana nao. kla mtu na chaguo lake. nani anataka kuzaa watoto vilaza! kilaza na kilaza mwenzie hata vitabu vya dini vimesema hvyo 😛uke:

Of all, u said it correctly.....wanajishebedua kumbe vilaza so waendage huko kwa vilaza wenzao na waliokimbia umande
 
inferiority complex!!!!!.... hayo ni maneno tu ya mitandaoni, wengi wenu ndo wanakimbilia haohao wasomi wenye kazi za maana .....wewe kama wasomi wamekushinda usigeneralize vitu, acha wenye kujua maana ya hao wasomi waoe.

Anaekimbilia msomi anataka kutawaliwa huyo
 
Wanawake wasomi wanaitumia elimu yao vibaya! Kusoma hakumaanishi usimheshimu mumeo, hata vitabu vitakatifu vimejidhihirisha katika hilo. Kwa asilimia kubwa wanawake wasomi ndoa zao nina matatizo makubwa kulinganisha na wanawake wenye elimu ya wastani. Mimi nimewasomesha wadogo zangu wa kike lakini naona mwenendo wao siyo mzuri mpaka sasa nilishaapa kutosomesha mtoto wa kike! Na kwa bahati sina mtoto wa kike! Hata mke wangu ni graduate lakini ni matatizo matupu kabla ya kwenda shule (university) alikuwa msikivu 2 lakini baada ya kugraduate ni shida kama si uvumilivu ndoa ingekuwa bye bye!
 
VIOL: wenzio wanaokuja hapa na kuweka sifa za mtu anayetaka kumuoa na elimu ikizingatiwa huwa huon? hebu wa PM waulize kwa nini kigezo cha elimu anakizingatia, tabia ya mtu ni tabia yake tu, kuna wanawake wasomi wanajishusha kwa wenza wao ha raha, kama ulimtafuta msomi kabumbuluka kwasababu umegeuka tegemezi kwake unategemea atakuheshimu kweli..? maisha ni kusaidiana.

Mwanamke nisaidiz tu kwako tena pale utakapokwama na sio lazma akusaidie, maandiko yanasema ADAMU UTAKULA KWA JASHO na HAWA (EVA) UTAZAA LWA UCHUNGU, kazi yake ni kuzaa nawewe ni kuhakikisha amepata mahitaji yote

kusoma kwa mwanamke ni kulingana na maisha ya sasa kwamba ikitokea mwenzangu akatangulia itakuwaje ndo maana wanawake sasa wanapenda kujishughulisha, sasa wanaume umegeuka mchezo kwamba akuzalie na akulishe..! tobaaaaaaa

Hakuna mme kamili anaetegemea mke ila wanawake hao hawataki kuongozwa ndoma wakiachwa huchukua ----- na kumtawala atakavyo wapo ambao wanajitambua kua wao niwanawake lakini ni wachache sanaaaa.
 
Back
Top Bottom