they might be but they less important.
Hahaaaa
they might be but they less important.
Ingekuwa ni hivyo ndoa za watu wanaoishi vijijini zingekuwa salama, maana asilimia kubwa wanaoolewa vijijini ni la saba na wengine hawajaenda shule kabisa, lakini utakuta mwanaume anatafuta mwanamke mwingine kisa wameshindwana na huyo mke wa ujana.
Hivyo tatizo sio degree, wala IV,la VII tatizo ni wote wawili na haswa mwanaume kumfanya mtoto wa mwanaume mwenzio kama sio binadamu, kila siku unamuimbia wimbo ooh unajua mimi nikichwa cha familia,ni kweli wewe ni kichwa anajua ndio maana kaolewa na wewe kwani hajaolewa na mwanamke.Huko ni kutojiamini
Utakoma na kadigirii kako.....
shule ya nini wewe?
sina dhiki wewe unashida ya mume nimekwambia kuwa mchepuko wangu achana na mambo ya tambo nyuma ya keyboard
kama hujaolewa ni vema ukatuliza kichwa sio kishankupe
wanawake wazuri nitawaita mashemeji sawa ila sio kama wewe watu kama nyie tunawaita wewe ----- kuja hapa na unakuja ndio si unataka kuolewa dereva wa bodaboda hapa
nakuona babu unafizia mchepuko...bibi umemuacha na nani kitandani?
leo niko lindo hapa NMB bank house.
Huo mchuchu unaujua niufanyie mbinumbinu?
Hata kama bosi wake ni mwanamke mwenzie??Halafu kitu kingine kinaaniogopesha ni kwamba wengi wenye kazi maofisini lazma waliwe kwanza na maboss zao eti kweli ??
Utakoma na kadigirii kako.....
haa haa babu mie naogopa kumsaliti bibi bana.
Mimi wala kadegree kangu hakata uhusiana na ndoa yangu, hata magoti nitampigia mbona ili mradi tu anipende na asiniache, wanaume adimu ati
Nilikuwa napita ila DEMBA kanitekenya.....!! Anawaka kama chui aliyejeruhiwa na bis bis hahahahahaaaa , pole
Mimi wala kadegree kangu hakata uhusiana na ndoa yangu, hata magoti nitampigia mbona ili mradi tu anipende na asiniache, wanaume adimu ati
Ukioa hao uliowataja ujue umeoa hot-pot na chupa ya chai.maana kila siku utakuta hot pot na ujumbe juu
''baby nimewahi kwenye washa''
mara chai kwenye thermos.Habari ya kuandaliwa msosi na mke unasahau.
Ukiwa na mke wa aina hii jifunze kupiga busu hot pot.