Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .
Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu. Mtazalishwa,mtalea watoto,mtadanganywa na hamtaolewa. Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.
Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?.......wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.
Cha kazi gani kwa mfano....
thanks kaka huo ndo ukweliWanawake wengi walioko maofisini wamegeuka machangu doa, wanavaa vibaya sana leng wapate kutongozwa na kuna wengine inasemekana mida ya lunch kuchepuka. kisha akifika home anasingizia kazi kuwa kachoka kumbe kagonwa.
angalieni sana kabla ya kuowa. na ukifanya istae tu ya kuanza kumgonga kabla ya ndoa siku ukimuweka ndani kijiwe anahamishia ofisni.
Yani kweli kuna umuhimu wa kurudisha jando, wanaume mmesahau wajibu wenu....
Kwanza hamna kuoana, mwanaume anaoa na mwanamke anaoleawa....mwanaume ndo mtenda na ana wajibu wa kumtimizia kila kitu mkewe....
Hebu fikiria, tunaamka asubuhi tunaenda wote kazini, nirudi nikupikie, nikufanyie usafi, usiku unimong'onyoe, tena kwa kunibinua staili zote, na huku unataka mauno ya kufa mtu.....mimba nibebe mie na kwa uchungu nizae....
Mimi ndo niangalie watoto na kutunza nyumba...we ukitoka kazini unapitia baa au unarudi nyumbani uko busy na tv....
Halafu mwisho wa mwezi unausarandia mshahara wangu.....hahaaaa!
Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .
Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu. Mtazalishwa,mtalea watoto,mtadanganywa na hamtaolewa. Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.
Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?.......wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.
unawaingizaje mkenge hao wenye elimu sawa na ww?mimi wa darasa la saba na form 4 nn kuoa hata kuongea nae tu siwez zaid ya salam tu mana naona hata mitazamo tupo tofauti kwanza wanakuaga na uswahil mwngi sana. wengine ndio tunawapenda hao wnye degree zao. darasa la saba na form 4 wataolewa na walokataa shule wenzao na vinuka mkojo wenzao mana ndio wanaendana nao. kla mtu na chaguo lake. nani anataka kuzaa watoto vilaza! kilaza na kilaza mwenzie hata vitabu vya dini vimesema hvyo 😛uke:
ungekuwa girl ningekutongoza maana unajua akili za watuUmeandika hii thread ukiwa umejifungia chumbani na unalia kwa kuachwa nini? Hivi bado unaishi kwenye karne gani vile? Endelea na mawazo yako mgando alafu tutakuja kukumbusha siku na hii thread yako.
Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .
Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu. Mtazalishwa,mtalea watoto,mtadanganywa na hamtaolewa. Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.
Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?.......wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.
but usimdharau kwa degree yakowanaume wenyewe wa siku hizi wavivuuuu....unaondoka kwenda kazini unamwacha amelala, unarudi unakuta ndo anaamka anakuuliza leo tunakula nini. sasa mtu na degree yako hiyo si ni headache tu, ni heri uolewe na hiyo degree au masters walau itakuletea maendeleo kuliko hao ma-looser!
heee heee unalo bibi we! bora mie mwanamke na degree yangu kuliko we mwanaume na tigo yako haina rinda..shutuuu
Yani kweli kuna umuhimu wa kurudisha jando, wanaume mmesahau wajibu wenu....
Kwanza hamna kuoana, mwanaume anaoa na mwanamke anaoleawa....mwanaume ndo mtenda na ana wajibu wa kumtimizia kila kitu mkewe....
Hebu fikiria, tunaamka asubuhi tunaenda wote kazini, nirudi nikupikie, nikufanyie usafi, usiku unimong'onyoe, tena kwa kunibinua staili zote, na huku unataka mauno ya kufa mtu.....mimba nibebe mie na kwa uchungu nizae....
Mimi ndo niangalie watoto na kutunza nyumba...we ukitoka kazini unapitia baa au unarudi nyumbani uko busy na tv....
Halafu mwisho wa mwezi unausarandia mshahara wangu.....hahaaaa!