Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,762
- 14,005
Walah umeua mamito....and sredi clozd
shosti kumbe kimwanaume kinaogopa degree..ukiwa nacho ni majanga unakuta kinaogopa mende pia...sasa utakaanacho kweli?
Walah umeua mamito....and sredi clozd
hujui kuhusu wanaume wewe tunaoa darasa la saba au 4m4
bora ulale tu
shosti kumbe kimwanaume kinaogopa degree..ukiwa nacho ni majanga unakuta kinaogopa mende pia...sasa utakaanacho kweli?
kwani nani ambaye hajasomeshwa na wazazi wake? na kama unalijua hilo basi na ww usiulize mshahara wa mume wako maana na yeye pia baba yake alijipinda kumsomesha kama baba yako alivyojipinda, na vilele ili kutimia neno ndoa au wanandoa ni lazima kuna neno kuoa na kuolewa kwa pamoja tuna pata hayo maneno, so achana na iyo habari ya kusema we si umenioa, ukiongea kauli kama hiyo naona kama unazingua vile.
mie kubishana na mwanamke mwenzangu siwezi....ngoja nitafute mashababi ya ukweli
tujenge kwetu basi mimi na wewe.
we haya maandiko yana maana gani ?mathayo 19:6 6 Hata wamekuwa si wawili
tena, bali mwili mmoja. Basi
aliowaunganisha Mungu,
mwanadamu asiwatenganisha.
na mm nikijenga kwetu tutajenga lini kwangu mimi na wewe ?
we mbishi jamani
shosti kumbe kimwanaume kinaogopa degree..ukiwa nacho ni majanga unakuta kinaogopa mende pia...sasa utakaanacho kweli?
Wenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .
Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu. Mtazalishwa,mtalea watoto,mtadanganywa na hamtaolewa. Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.
Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?.......wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.
Mnamaanisha ninyi wazazi wenu hamuwahudumii?
UWenye degree hamfai na degree zenu.
Mwanaume ni kichwa cha nyumba. Wanawake wenye elimu ya darasa la saba na form 4 hawasumbui wanaume. wanajua wajibu wao kutii na kumjali Mume,ila wenye zaidi ya hapo,wachache .
Rest hawajielewi baada ya kujiona wanajua,ila hawafai kuolewa hawana sifa ya kuwa wake,ni wanaume wenzetu. Mtazalishwa,mtalea watoto,mtadanganywa na hamtaolewa. Mtaongezewa watoto na majukumu ila wataolewa wa darasa la saba na form 4.
Na hata maprofesa wake zao ni la saba na form 4 au wanaojielewa,mnaojifanya mna figure, degree,mkoo wapi? mna familia za maana na mmeolewa?.......wife material ni anayemsikiliza mme wake, uwe na elimu au vipi bila kujinyenyekeza huna heshima.
wewe na kadegree chako utabaki kuwa chakula cha waume za watu
matusi yako kwangu mavi tu