Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

aliyemfuata mwenzie kwao kwa ngoma na maturembeta nani? Basi ndo ajue kumtunza ni wajibu wake...
Wanaume wa digital acheni kukimbia majukumu....baba ndo kichwa cha familia....!

shost wanadhan kuwa mwanaume ni kumiliki uume tu...hivi bado vitoto vikikua vitaacha
 
pointless kumbe wewe waumia mtu akijenga kwao? we sio mzima kabisaaa.. kwa hyo ukiwa na binti hutaki akujengee kisa kaolewa?

mwanamke atawaacha wazazi wake na tazama sio wawili bali wamekuwa mwili mmoja
hayo ndio maandiko au uko kinyume na maandiko ?
 
shost wanadhan kuwa mwanaume ni kumiliki uume tu...hivi bado vitoto vikikua vitaacha
wa form 4 na la saba wanapigwa matarumbeta kila wiki jijini,sahau wenye degree hahaha
 
mwanamke atawaacha wazazi wake na tazama sio wawili bali wamekuwa mwili mmoja
hayo ndio maandiko au uko kinyume na maandiko ?
thanks bro,you nailed!
 
Aliyemfuata mwenzie kwao kwa ngoma na maturembeta nani? Basi ndo ajue kumtunza ni wajibu wake...
Wanaume wa digital acheni kukimbia majukumu....baba ndo kichwa cha familia....!

kama ninachopanga hataki tufanyaje?
naoa 4m4 kisha anakaa nyumbani na mahitaji yake yote nitatimiza sio asubuhi tuamke wote mwisho wa mwezi maumivu kwa mmoja hiyo no big NO
 
mwanamke atawaacha wazazi wake na tazama sio wawili bali wamekuwa mwili mmoja
hayo ndio maandiko au uko kinyume na maandiko ?

nipe andiko linalosema mwanamke akiolewa atelekeze wazazi wake
 
Jamani sio wote.

Inategemeana na mtu mwenyewe tabia zake zipo vipi.
 
Naona ni ujinga tu wa mwanaume asiyejiamini,
yaani mzazi wangu atumie pesa yake kunisomesha leo nimepata kazi nimuache aendelee kuishi kwenye tembe!!
pointless kumbe wewe waumia mtu akijenga kwao? we sio mzima kabisaaa.. kwa hyo ukiwa na binti hutaki akujengee kisa kaolewa?
 
na wanaume wanaopenda kulalamika wengi wanatabia za kike na wanaliwa kiboga ka mizoga...wanawake wasomi wanajitambue hawaendekezi ufala tena wanatunza familia bila kuteteleka
ndo size ya kuwaoa wanawake wa degree na kueendelea,mwanaume kilaza ndo mme wa wa mwanmke mwenye degree na kuendelea,pwaah
 
Idadi ya wanaume inazidi kupungua,
kama ninachopanga hataki tufanyaje?
naoa 4m4 kisha anakaa nyumbani na mahitaji yake yote nitatimiza sio asubuhi tuamke wote mwisho wa mwezi maumivu kwa mmoja hiyo no big NO
 
wa form 4 na la saba wanapigwa matarumbeta kila wiki jijini,sahau wenye degree hahaha

sikia mkuu kwani wanaolalamika hawaolewi wengi wao wapi ?
wasijipe moyo hao ni michepuko tu
 
inferiority complex!!!!!.... hayo ni maneno tu ya mitandaoni, wengi wenu ndo wanakimbilia haohao wasomi wenye kazi za maana .....wewe kama wasomi wamekushinda usigeneralize vitu, acha wenye kujua maana ya hao wasomi waoe.
 
Kim nana


Nadhani wewe hujaolewa na kama umeolewa mmeo ni kama yuko Jehanamu na kama hujaolewa basi huna sifa za kuwa mke wa mtu.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom