Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

acheni uwoga wa bure mwanamke ata awe na elimu gani hapa duniani mwesho wa siku all she will do is spread legs simple wala usiogope . na ukishindwa dominate a woman u aint a man enough

mkuu kwa michepuko wanafaa sio uwafungie ndani unajua mpo wawili mnakwenda kazini kumbe hela yake anajenga kwao shenzyyy nikioa mke wangu hafanyi kazi hata kama ni professor
 
mkuu kwa michepuko wanafaa sio uwafungie ndani unajua mpo wawili mnakwenda kazini kumbe hela yake anajenga kwao shenzyyy nikioa mke wangu hafanyi kazi hata kama ni professor

pointless kumbe wewe waumia mtu akijenga kwao? we sio mzima kabisaaa.. kwa hyo ukiwa na binti hutaki akujengee kisa kaolewa?
 
mkuu kwa michepuko wanafaa sio uwafungie ndani unajua mpo wawili mnakwenda kazini kumbe hela yake anajenga kwao shenzyyy nikioa mke wangu hafanyi kazi hata kama ni professor
tuko pamoja mkuu,michepuko wenye degree,wake zetu la saba au form 4
 
Yaani huyu nadhani ni Shemeji yangu au Mshauri wa Shem wangu.maana Shem wangu kwa kaka amenunuliwa gari lakini mpaka mafuta anawekewa akiambiwa mshahara unaenda wapi anasingizia mshahara wa mwalimu ni mdogo.na ana degree.ni sheeda

ha ha ha ha mkomeeee mwambia na nunua gari hudumi agari mwenyewe
 
mkuu kwa michepuko wanafaa sio uwafungie ndani unajua mpo wawili mnakwenda kazini kumbe hela yake anajenga kwao shenzyyy nikioa mke wangu hafanyi kazi hata kama ni professor

Kumbe roho mbaya imekujaaa....nisijenge kwetu kisa nimeolewaaa!!!?

Makubwaaaa!
 
Back
Top Bottom