Wanaofanya kazi ya kupoteza watu ndani ya "Kitengo" wanapataje kazi hii?

Kuwa yatima no baba no mama no ndugu wa karibu na wewe kupita kiasi .

Kuwa na uwezo mkubwa shuleni na akili kubwa mtaani .

Kuwa mtu wa kujichanganya sana na jamii .

Kuwa na historia ya kunyanyasika na huko nyuma kiasi umekuwa affected psychologically .

Basi utatafutwa popote ili ufanye hayo .

Ila kumbuka kwenda shule maana details zako zinachukuliwa shuleni sio uwe mtu wa mtaani .

Nitarudi baadae ikiwa kuna atakayebisha nitakuja kutoa mifano na baadhi ya majina ukayafuatilie ila jua sio mimi ila ni wao.
 
Jaribuni mpitieni documentary ya Richard kukliski aka the ice man
Jamaa alitumiwa sana na mafia mob,wanasiasa nk kuwatimizia kazi zao za kuwaua watu,anaoagizwa
Kwenye moja ya mahojiano yake alikuwa anasema alikuwa Ana enjoy
Kuua

Ova
 
Ungejiuliza kwanza wale wanaopiga Wanyama kama Paka au Mbwa mpaka anakata roho hupewa mafunzo gani? Kwa nini Tanzania wanapiga paka mpaka anakata roho?

Wanambana mahali na kumpiga mpaka anakata roho unafikiri ni kwa nini? Au kwa nini Tanzania Mwanaume akimuua Mke wake kwa ukatili Wanaume (siyo wote) wa Tanzania wanamtetea Mwanaume kwa ukatili aliomfanyia Mwanamke na hawaonyeshi huruma na Mwanamke aliyeuliwa kikatili?

Ukipata majibu ya hayo maswali ndiyo utaelewa kwamba unaweza kuuwa mtu kirahisi sana klk unavyodhania, unahitaji kumchukia tu, kila kitu kimeisha.

Hao watu ni psychopath sifa ya psychopathy ni kukosa huruma na wataalamu wanasema wanaotesa Wanyama ni psychopaths na siyo watekelezaji tu kuna wanaotoa oda pia unawaweka kundi gani?
Sasa umejibu swali au umetoa ufafanuzi wa aina hiyo ya watu ?! Mtoa mada anataka kujua je wanaabudu, je wanapewa mafunzo, je wanafamilia, je wanahisi hatia kwa watendayo, je wanalazimishwa au ni kwa hiari yao.
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Wengi ni zao la Jeshi huwez ingia fresh from school...
 
Kuwa yatima no baba no mama no ndugu wa karibu na wewe kupita kiasi .

Kuwa na uwezo mkubwa shuleni na akili kubwa mtaani .

Kuwa mtu wa kujichanganya sana na jamii .

Kuwa na historia ya kunyanyasika na huko nyuma kiasi umekuwa affected psychologically .

Basi utatafutwa popote ili ufanye hayo .

Ila kumbuka kwenda shule maana details zako zinachukuliwa shuleni sio uwe mtu wa mtaani .

Nitarudi baadae ikiwa kuna atakayebisha nitakuja kutoa mifano na baadhi ya majina ukayafuatilie ila jua sio mimi ila ni wao.
Kitu kimoja Mungu alifanya fair ni kuwa kama uliua basi na wewe utatoweka kwa njia hiyo hiyo.
 
Ninavyotambua afisa usalama yoyote yuko tayari kwa lolote na kwa muda wowote! Na ndio maana wanapitia mafunzo tena si ya kitoto na wote wako vizuri mno!... Hivyo yoyote yule anaweza kuua!
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Watafute uwaulize. Nawe unataka kupoteza watu. Fikiria ukipotezwa kabla ya kutaka kujiunga na wahalifu hawa.
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Hii ni hadisi ya kufikirika. As far as I know ukiona mtu amepigwa aubkuuliwa kifo cja ajabu utagundua ni ugomvi wa kutembea na mke wa mtu, au majizi kupunjana mgawo wa mali waliyoiba, au kulipa kisasi mtu kaua ndugu zake, au vita vya kikabila hasa nchi zetu jirani Rwanda na Kenya. Usiumize kichwa chako.
 
Kuna mwingine tena kapotezwa au?
Unauliza SWALI gani hilo? Hilo ndio JIBU! Sasa hivi jaribu kutulia na kuwa MTAZAMAJI!

Na usishiriki JAMBO lolote ambalo huna UHAKIKA nalo, kwa sababu kinachoendelea kufanyika sasa hivi ni SMOOTH CRIMINAL.



UDHALIMU NA UBEDUI ulipitiliza, kwahiyo WADAU ni fursa kwao kulipiza KISASI.
 
Waliopewa ile kazi walikua wazembe sana sidhani kama watakua hai mpaka leo hii maana hii kazi mission isopokua accomplished inabidi wahusika wauliwe kutunza siri., hivi walishindwa hata kumtegesha sniper mmoja sehemu nzuri jamaa akishuka tu kwenye gari anapiga ya kichwa kazi imeisha

..waliomshambulia Lissu hawakuwa wazembe.

..walimtupia risasi nyingi na 16 ziliingia mwilini mwake.

..they hit their target. Suala la target kufa hiyo ni habari nyingine.

..kilichotokea ni jambo la muujiza Lissu kuepuka kifo.

..mnaosema sniper angefanya kazi nzuri mnakosea.

..Kwasababu hata Snipers hawana uhakika wa 100% kufanikisha mission zao.

..Mwisho mnaweza kusema labda wangetumia BOMU LA NYUKLIA. lakini hata ktk shambulizi la nyuklia kuna wahanga wame-survive.
 
Back
Top Bottom